Hivi anawaona wananchi hao ni wajinga sana eenh!!!?SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.
Hajadadavua hata kifungu kimoja cha mkatabaAnaweza kuzomewa.
Hii ni aibu, kuna nini nguvu nyingi inatumika kuwapotosha wananchi kuhusu mkataba mbovu na hazungumzii chochote juu ya vipengele vya mkataba wenyewe. Bunge na serikali waungana pamoja kuhadaa wananchi hii ni shida kubwa sana. There something to learn from Kenyan on DPW.SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.
Kama atajibu hoja za shivji na mawakili wengine nitampa mauaIla bado tuna safari ndefu sana, imagine mkuu wa mhimili wa Bunge yupo ziarani kuisemea serikali. Haya ni maajabu makubwa sana sema ndo hivo yupo kuongea na wajinga.
Tulia hajui kabisa kazi yake kama spika wa bunge ukichanganya na elimu aliyonayo nikajua atakua na akili ila anafanya jambo la kijinga sana
Spika anakuaje msemaji wa serikali,
How comes
Wapi anaongea tu utopolo hukoKama atajibu hoja za shivji na mawakili wengine nitampa maua
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Mimi ningewshauri wamzomeee tu ndiyo dawa.Hivi anawaona wananchi hao ni wajinga sana eenh!!!?
Anawaona wananchi wa Mbeya ni kama mazumbukuku vile
Yaani huyu dada ana dharau. Yaani anawaambia Wananchi wake kuwa yeye ana thamani zaidi kuliko wapiga kura wake.SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.
itakuwa alikwambia ..once a bitch.....Naelekea kuamini maneno ya Babu yangu kuhusu mwanamke.