Spika Tulia aanza ziara ya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya faida za mkataba wa bandari

Hivi speaker wa bunge sianatakiwa awe neutral? alafu kwanini bunge liidhinishe ule mkataba and then ndio mnakuja kushawishi na kuelimisha wananchi hii inatoa tafsiri ? .wabunge ni wawakilishi wa wananchi kile wanachotaka na sio wanaowaamulia wanachotaka wao .
 
Chema chajiuza kibaya chajitembeza.
 
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

Kama anajiamini atengeneza mdahalo na wakina Prof Shivji na Dr. Nshala.
 
Huyo ange pelekwa tuu kwenye vibonzo vya Zena na betina kunamfaa zaidi kule
 
Hivi kweli Madam speaker anaamini hao wanaomsikiliza wanamwelewa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

Akaelimishe mbwa labda ndiyo viumbe wanaotamani kuuzwa kwa mwenye fedha. Asijisumbue kuelimisha binadamu sisi. Binadamu hupenda uhuru na heshima.
 
Hichi kimenifanya nitafakari sana wajibu wa Speaker. Kama speaker anaweza kufanya haya. We are finished.
 
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

 

Attachments

  • 3164BC63-14D6-436A-8028-EE75988DB362.jpeg
    37.4 KB · Views: 3
  • 54F49860-06D2-4970-B7AB-4582A12626BF.jpeg
    32 KB · Views: 3
  • 67AD3CA2-96F4-44B1-B6E9-73FA2D3D2994.jpeg
    55.3 KB · Views: 3
  • 976CEF45-ED3C-4385-8C54-456C8A0F1D68.jpeg
    75.7 KB · Views: 3
  • FAAF7D6B-830C-4D6A-9B4F-CDBDD974B3B3.jpeg
    150.5 KB · Views: 3
  • 4F54DFC8-20DC-414A-A6DD-E4A3F58788D5.jpeg
    131.1 KB · Views: 3
  • 609AFB05-709D-461B-952F-8E99557D8112.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

Kwamba ni mkataba au Makubaliano?!!! Kwanza Mbeya hakuna Bandari!
 
kitu ambacho hajui, watanzania wote ni wadau wa bandari haijalisha tufanya biashara au hatufanyi biashara.
 
Pamoja na kwamba Tulia ni mzaliwa wa Mbeya ninauhakika kabisa bado hajaielewa Mbeya!
Hata Kasumulu ni Mbeya ujue,huyo hajazaliwa Mbeya mjini,aliyezaliwa palepale Mjini simtaji jina.
 
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

Kwahiyo nahii ziara tunagaramia sisi walipa Kodi au DP?
 
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameanza ziara katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Mbeya kuwaelimisha wananchi wa Mbeya juu ya faida ya mkataba wa Bandari uliopitishwa na Bunge Juni 10 2023 bungeni Dodoma.

hana uwezo kusimama jukaani au kwenye mdahalo na mwabukusi huyo. naona hata sugu kalala usingizi, namshauri mwabukusi achukue kabisa hicho kiti cha mbeya manake sugu na tulia hawafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…