Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
- Thread starter
- #21
Unatoa maoni hayo kama IGP Wambura?Jaribu kuandamana uone kama kweli una uhuru wa kutoa maoni yako
Kwa kuwa hayo maandamano ya amani yanaruhusiwa kufanyika kwa mujibu wa Katiba yetu ya nchi.
Wewe ni nani hadi uende kinyume cha Katiba yetu ya nchi??🥺