Baraza bado halijawaita maana lilisema mwakajana lilishindwa kufanya mkutano kwa sababu ya ukata, sasa wao wafanye nini zaidi ya kuendelea kusubiri waitwe! Wao wanasubiri waitwe wakajitetee na Baraza lina ukata, sasa watatokaje bungeni na wakati hata hilo baraza likiridhiawatakimbilia mahakamani, kama ambavyo Zitto Kabwe alifanya alupofukuzwa na Chadema. Na aliebdelea kuwa Mbunge hadi mahakama ilipotoa hukumu, na itoa hukumu katika mkutano wa mwisho wa bunge hivyo kupelekea Zitto kupewa haki zake za miaka mitano kama wabunge wengine licha ya hukumu kumuona ana hatia. Na hawa watakwenda kwa mchezo huo huo, usione wako kimya wanajua hatua za kufuata! Huu ni wakati wa masika jamani, twende mashambanii!!!