Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Nimeiona hiyo clip,nadhani kama taifa kuna sehemu moja tunakwama.
Viongozi wetu wamezoezwa kutojibu hoja,badala yake kutumia nguvu kuzima hoja.
Kitu hiki kinatudhalilisha sana,tunapokuwa sehemu ambazo huwezi kuzima hoja kwa kutumia nguvu
bali unatakiwa kuzima hoja kwa kutumia nguvu ya hoja uliyonayo.

Tunahitaji sana kujitafakari,kwa sehemu kubwa niliona alijitahidi kujibu
ila akaharibu alipoaanza kupanic,vinginevyo mimi niliona amejitahidi kujibu.
Hasa alipoulizwa kwanini ulianzia urusi na si ukraine? binafsi yale majibu nilimuelewa.
Afadhali wewe hujamhukumu Tulia kwa kuongozwa na itikadi binafsi.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Spika alijibu vizuri kwa mukutadha wa muuliza swali! Muuliza swali kwa umbo la sauti ya lugha swali lilikuwa limebeba kejeli na dhalau na alitakiwa amjibu hivyo!
 
Amejibu vizuri. Pia, yeye si mwanadiplomasia nguli hivyo anaendelea kujifunza. Tumpe muda. Bado kufikia viwango vya yule prime minister wa Barbados lakini given time and opportunity she will reach there.
Halafu kwa hawa wazungu tumlinde wa kwetu. Akirudi huku ndo aje apambane na spana za Sugu hapo Mbeya mjini
 
Kuna sheria inayozuia viongozi wa IPU kutembelea nchi kama Russia? Mbona hawajaanza na kuwazuia wabunge wawakilishi toka Russia wasihudhurie mikutano ya IPU mpaka watakapoacha kuivamia Ukraine? IPU sio UN
Tulia hajazuiwa kwenda urusi alipaswa ajibu swali na sio kupanic na kuaza kupayuka kama vile sio msomi bhn
 
Tulia yuko sahihi. Amewatuliza na kuwakata ngebe watulie na wamheshimu. Wewe unaleta mada upo huku huwezi kujua anakutana na mangapi akiwa kule mpaka ameamua kuwatolea uvivu. Huwa simkubali tulia lakini katika hili namuunga mkono. Wanamuuliza maswali ambayo ameshayajibu pia aliwasoma akawajua mawazo yao ndio maana akawapa za uso.

Swali ni kwani wao wanasemaje? Naona kama sisi watz ndo tunalivalia njuga sana swala hilo wakati wenye jambo lao wapo kimya. Ugomvi wetu wa ndani tusiupeleke nje.
Alitakiwa awafungie wassingie bungeni vikao 7!
 
Kaa kwa kuturia suburi sku akirudi kuna maandamano ya kwenda kumpokea airport na sifa na vifijo kibao
 
Ni kweli 😆😆
Kule Watu wana akili kubwa sana na sio kina Msukuma na yule mgogo wenye kujua kusoma na kiandika kama siga ya ubunge.
Vilaza.
Halafu wasomi wengine wabongo ni wanafiki na machawa.
Mfumo wetu wa elimu unahitajika manoresho makubwa sana.
Msomi hajui kuibua hoja , hajui kujenga hoja, hajui kupangua hoja kwa hoja ni huzuni kwa kweli.
Akiulizwa maswali anawaka na kutishia wananchi.
Hata kwenye ofisi za umma ni hivyo hivyo.
Wakuu wa vitengo na idara ni wadhaifu, hawataki kuulizwa maswali, ukiwamuuliza maswali wanakuchukia, wanakuundia zengwe.
Wanakuona ni threat.

wasomi wengi wamefuzu masomo kwa kudesa vyuoni ndio maana Hawana ile mindset transformation.
Ni Watu wa hewala hewala tu.

Ndio maana tija na ufanisi wa kazi kwenye taasisi za umma sio wa kuridhisha.
Kwanza upatikanaji wa Viongozi ni shida kubwa .
well said mkuu...
 
Nabii hakubaliki kwao lakini ukiwa na maono ya mbali ametuheshimisha Tanzania na Africa.
 
Infact unaweza mtizama kama shujaa Kwa namna alivyoshambulia Kwa jazba.
Ila mimi,
Nimeona haya kuwa ule uendeshaji wa bunge kibabe Kwa kutiisha watoa mada anataka kuuendeleza huko.
Nimeona aibu sana Kwa kuendekeza 'opinion' mfano hayo maneno ya 'colonized'
Nimeona aibu mimi namna Dunia inavyotutazama wa Africa tabia tulizonazo Kwa kushika madaraka makubwa.
Nimeona aibu
Yeah.....
 
Tulia hajazuiwa kwenda urusi alipaswa ajibu swali na sio kupanic na kuaza kupayuka kama vile sio msomi bhn
Ukisikiliza vizuri anasema ameshajibu hilo swali mara nyingi hapo awali tena alikwenda Urusi baada ya Raisi zelensky na speaker wake kusema hawatakuwepo ukraine wanaenda kuhudhuria mkutano Ulaya au marekani na mialiko yake huko ukraine ipo ofisini kwake wakachukue
 
Aisee🤣🤣 watu mna negativity sijawahi ona!
Et wazungu wanajua kuanzisha hoja ni ma- genius humpima mtu kwa uwezo wa kufikiri🤣🤣 yani mmekua wasemaji wao!
Mara kingereza cha tukuyu mara inferiority🤣🤣🤣
Aisee !!! Kwa akili hizi wasiojulikana hawatoisha
Maoni ya mtanzania mnyonge
 
Mbona la Samweli Sitta linasifiwa?
Kinafiki tu kama kawaida yetu wabongo. Huyu dada wanamsifia hata hao wazungu kwa kuweza kusimama dhidi ya ubaguzi wa mawaziri wa Ulaya.

Tanzania nchi aliyotoka kuna wajuaji kuliko hao mawaziri, kuliko hao watu wa media za kimataifa.

Siasa mbovu za CCM na CHADEMA zinatengeneza kundi kubwa la wajinga.
 
Asante sana Bagamoyo nimepata ujumbe wote kwa ujumla wake.

Yaani rais Tulia Ackson lugha yake ya mwili hata kabla ya kufikia muda wa kuulizwa maswali live alikuwa amesha changanyikiwa mno, ingawa maswali hayo siyo ya papo kwa hapo, tayari walishawasilisha kwa maandishi kama kanuni za mabunge zinavyoelekeza. Hii ilimpa muda wa kutosha kujitayarisha, lakini pamoja na hisani hiyo ya kiutaratibu wa kibunge, Dr. Tulia Ackson aka - panick.

Labda kuna kitu anakijua kama impeachment n.k kinakuja na hii rasharasha ya maswali ni mwanzo wa wabunge kusuka jambo kubwa juu ya uwezo wake ..
 
Ukisikiliza vizuri anasema ameshajibu hilo swali mara nyingi hapo awali tena alikwenda Urusi baada ya Raisi zelensky na speaker wake kusema hawatakuwepo ukraine wanaenda kuhudhuria mkutano Ulaya au marekani na mialiko yake huko ukraine ipo ofisini kwake wakachukue
Angeishia apo tu ingetosha sio kujizalilisha vile halafu wanawake wanapenda kujitilisha huruma kanakwamba wanaonewa vile
 
Back
Top Bottom