Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Wana JF wengi wenu hasa wanaume suruali mna wivu na chuki kali sana, hua najiuliza ni maisha yamewapiga sana huko kitaa au ni tatizo la afya ya akili? mnajitia wajuaji kwenye kila kitu watu wenyewe exposure hamna hamjawahi hata kuizunguka nchi yenu mmebaki na mawazo mgando basi kichefu chefu tu,
Acheni wivu kwa watu waliowazidi akili, maarifa na mali mnazidi kujikosesha baraka na kuzidisha umaskini kwenye familia zenu.
Mwenye tatizo la akili ni yupi kati ya wanaojadili mapungufu ya speech na yule anayesema wanaume suruali wana wivu.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Linguist nadhani umeshindwa kupita na line by line ya maneno yake.

Ukisikiliaza mwanzoni tu anaeleza wazi kama amekuwa akiwajibu maswali hayo ila still wanayauliza na hata tone za waulizaji utagundua zimekaa kwa style ile ya leo ndiyo leo tueleze.

Sijawahi kumshabikia wala kupenda majibu ya Tulia kwa wabunge wa Tz ila kwenye hili amejibu kwa usahihi.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuwaambia, 'wamheshimu, au natoka nchi ndogo au wasiwe na fikra za kikoloni',

Haya yote kiuongozi ni kuonyesha hali ya kutojiamini inferiority complex, kwanza hakuulizwa haya pili kwani wao (wazungu) hawajui kuwa anatoka kwenye nchi ndogo.
haja ilikua kubwa mno gentleman,

hasa ukilinganisha na majivuno na ghadhab za wauliza maswali ambao wanadhani powerful IPU president Dr.Tulia Akson ni dhaifu sana na hakustahili kuitembelea cremlin ya Mzee Putin huko Russia na alistahili pekee kuitembelea Zelensky ambae hatulii Ukraine 🐒

Kwani muuliza swali mwenyewe useless mihemko wa Ukraine alikua ana haja gani kumuuliza Powerful IPU president Dr.Tulia kwamba who told you to visit Russia?

kwamba muuliza swali hajui wajibu wa IPU right? Halafu mtu kama huyo ni wa kumchekea tu, right 🤣
 
Wana JF wengi wenu hasa wanaume suruali mna wivu na chuki kali sana, hua najiuliza ni maisha yamewapiga sana huko kitaa au ni tatizo la afya ya akili? mnajitia wajuaji kwenye kila kitu watu wenyewe exposure hamna hamjawahi hata kuizunguka nchi yenu mmebaki na mawazo mgando basi kichefu chefu tu,
Acheni wivu kwa watu waliowazidi akili, maarifa na mali mnazidi kujikosesha baraka na kuzidisha umaskini kwenye familia zenu.
Hichi ulichokoment ndio hasa tabia za watu wenye wivu, hasira, na walipigika kimaisha. You are likely to be one of them.
 
..masuala ya ukoloni yanahusiana nini na maswali aliyoulizwa?

..hoja ya ukoloni ni kichaka cha kukimbia maswali, sawa na ilivyo hoja ya jinsia.
sasa gentleman,
naona na wewe una mihemko tu kama yule mbunge wa Ukraine aliemuuliza powerful IPU president Dr.Tulia eti who told you to visit Russia?🤣

kwamba alikua anadhani Dr.Tulia ataomba ruhusa kwake ama ama makasiriko yalikua ya nini? Kwamba Russia hastahili kutembelewa na Rais wa IPU right?

Maswali yote yalijibiwa kwa weledi mkubwa sana na ndio maana ukumbi mzima ulilipuka kwa makofi huku yule mbunge wa Ukraine akikusanya kila kilicho chake na kutokomea kusiko julikana 🤣

Nadhani leo ndio wamemuelewa Dr Tulia Akson ni mtu wa aina gani, right? au hujafuatilia?🤣

kawapigisha kazi za maana siku nzima wazee wanapiga myao tu 🤣
 
Kupigiwa kura sio issue mkuu, tunaongelea content za speech yake!

Kwani mzee wa jalalani aliposema kaleta dawa za covid toka Madagasca hakuwa na viwango vya jalalani? Hata Tulia ni zao la jalalani na ni mwalimu wao pia. Udoktori hata yule mkuu wa mkoa aliyeachishwa kazi akaanza maombi alikuwa nao pia, udoktori bongo ni michongo tu hawana content yoyote ndo maana Kishimba na mwenzake wa geita wanadharau elimu sana sasa

Kwa kweli ni shida.
Ndio maana nasema mfumo wetu wa elimu una shida kubwa sababu products zinzotoka za wasomi ni mashaka.
 
Mwenye tatizo la akili ni yupi kati ya wanaojadili mapungufu ya speech na yule anayesema wanaume suruali wana wivu.
Ni wale wanaume suruali wanaojadili vitu wasivyokua na uwezo navyo, wale wanaume suruali ambao hawajawahi hata kua viranja kwenye shule za msingi na sekondari.
 
Hichi ulichokoment ndio hasa tabia za watu wenye wivu, hasira, na walipigika kimaisha. You are likely to be one of them.
Hakuna mtu aliyefanikiwa kimaisha akawa ana negativity, mtu maskini aliyekosa muelekeo wa maisha hua ana hasira na wivu kwa waliomzidi hasa huyo mtu awe mwanamke.... tafuta hela dume suruali
 
Yaani ni bora usingejibu kabisa. Unatakiwa ujibu hoja kwa hoja ukishaona umeanza kutoa kashfa kwenye mijadala maana yake ni kuwa huna hoja hivyo ni bora unyamaze.
Hoja???? Wee umeona huyo jamaa anahoja hapo??
Am not wasting my time.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Kaenda na tabia za huku ambako yeye kama spika anaweza kuongea atakavyo. Anadhani na huko ni hayo hayo.
 
sasa gentleman,
naona na wewe una mihemko tu kama yule mbunge wa Ukraine aliemuuliza powerful IPU president Dr.Tulia eti who told you to visit Russia?🤣

kwamba alikua anadhani Dr.Tulia ataomba ruhusa kwake ama ama makasiriko yalikua ya nini? Kwamba Russia hastahili kutembelewa na Rais wa IPU right?

Maswali yote yalijibiwa kwa weledi mkubwa sana na ndio maana ukumbi mzima ulilipuka kwa makofi huku yule mbunge wa Ukraine akikusanya kila kilicho chake na kutokomea kusiko julikana 🤣

Nadhani leo ndio wamemuelewa Dr Tulia Akson ni mtu wa aina gani, right? au hujafuatilia?🤣

kawapigisha kazi za maana siku nzima wazee wanapiga myao tu 🤣

..Ukraine si moja kati ya mataifa yaliyowahi kuwa na makoloni.

..Spika Tulia amemtukana muuliza swali toka Ukraine kwamba ana colonial mentality.🤣
 
Hivi wakiamua kupiga kura ya kukosa imani naye itakuwaje.

Mwingine tumemtuma huko WHO mwambieni asiende kufanya maajabu huko.
 
Hata kupewa uongozi katika taasisi hiyo sio jambo dogo, humo ukumbini kuna wasomi wangapi wanazeeka na kustaafu bila ya kupewa hiyo nafasi ya urais?. Siku zote kwepa akili za kibongo za kudharau kila kitu.
Nafasi yenyewe moja tu wewe ulitaka kila mmoja ashike nafasi hiyo? Utoto huo.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Anaongea mambo ya ukoloni sijui kutoka Afrika badala ya kujibu alichoulizwa 😁😁😁😁

Ukichunguza sana alifeli Kwa sababu anakawa anahisi anaulizwa as personal wakati anaulizwa kama Rais wa IPU.

Hili ni tatizo la saikolojia Kwa Wanawake Huwa wanadhani unamshambulia personality yake 😂😂
 
Back
Top Bottom