Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaze makalio au atafute jimbo lingineBiashara ya hotel ngumu. Sugu nae anataka akafaidi Tena pesa za kuokota
Mpeni Jimbo kwenu kanda ya ziwaSio kweli ushindi kwake nje nje sugu akomae na hoteli yake
Lazima abwagwe ni msaliti wa taifa kutumia hila ili kupitisha mkataba wa dubai. Ccm kama wanataka jimbo bora waweke mgombea safi. Vinginevyo sugu anabeba jimbo.Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
kwani wameshagawa jimbo?Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
Hilo liko wazi.Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
Kwa ishu ya Luhaga Mpina Mbeya hatumtaki tena. Badala ya kusimama kama Mhimili wa kuisimamia serikali anawatosa wananchi anadhani yy ni waziri mkuu serikalini!. Wananchi tunajua wajibu wa Bunge. Watu wa leo siyo wa mwaka 47. Ataanzisha matamasha mengi tu tutamlia viposho vyake sana halafu kwenye uchaguzi tunamchapa. Akagombee Tukuyu, Magu saa hz hayupo aliyembeba. Na mama saa hz anahangaika na yake.Sio kweli ushindi kwake nje nje sugu akomae na hoteli yake
Kwetu kyela tunamrudisha mwakyembeMpeni Jimbo kwenu kanda ya ziwa
Kwanza huyu siyo Spika ni pandikizi la CCM hana msaada wowote kwa wananchiSpika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
Hongereni snKwa ishu ya Luhaga Mpina Mbeya hatumtaki tena. Badala ya kusimama kama Mhimili wa kuisimamia serikali anawatosa wananchi anadhani yy ni waziri mkuu serikalini!. Wananchi tunajua wajibu wa Bunge. Watu wa leo siyo wa mwaka 47. Ataanzisha matamasha mengi tu tutamlia viposho vyake sana halafu kwenye uchaguzi tunamchapa. Akagombee Tukuyu, Magu saa hz hayupo aliyembeba. Na mama saa hz anahangaika na yake.
Ameenda kuwa wakala wa serikali na siyo mbungeLazima abwagwe ni msaliti wa taifa kutumia hila ili kupitisha mkataba wa dubai. Ccm kama wanataka jimbo bora waweke mgombea safi. Vinginevyo sugu anabeba jimbo.
Atapitia njia gani?Kwetu kyela tunamrudisha mwakyembe
Hana mpinzani nje ya CCMAtapitia njia gani?
Utakuwa Umelogwa sanaHana mpinzani nje ya CCM