Pre GE2025 Spika Tulia ana wakati mgumu jimboni Mbeya (M) mwakani

Pre GE2025 Spika Tulia ana wakati mgumu jimboni Mbeya (M) mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
Tatizo wakikosea tuu wakachagua hao kina Kajujumele sijui Sugu,yaani hiyo miradi mnayoiona hapo Mjini itaisha 2030 na Serikali haitaleta mradi wowote.

Mark my words.Kwa Mbeya ni mara 1,000 Tulia Ili Mkoa usogee kuliko hao.

Jeuri haiwezi shindana na Mamlaka.
 
Kama hulijui hilo la DP WORLD dhidi ya Tulia basi huna uwezo wa kushiriki huu mjadala
Wewe ndo huna uwezo unachanganya siasa za kitaifa na siasa za jimboni ndo maana mnafeli vibaya wewe hujiulizi kwanini wabunge maarufu kitaifa kama ni mnyika walifeli vibaya majiboni?
 
Mwabukusi atagombea Jimbo la busokelo
Kwa mujibu wa Sheria/ kanuni za TLS, ukiwa Rais huruhusiwi kushiriki uongozi wa kisiasa
Wewe ndo huna uwezo unachanganya siasa za kitaifa na siasa za jimboni ndo maana mnafeli vibaya wewe hujiulizi kwanini wabunge maarufu kitaifa kama ni mnyika walifeli vibaya majiboni?
Pita mbali huna unalolijua wewe
 
Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
Hilo liko wazi kabisa, ukishaona hapa Mbeya wanawake wenzako hawakusapoti sana, jua hali yako itakuwa ngumu sana mwakani.
 
Wewe ndo utakuwa huijui mbeya ya wasomi yaani mtu amwache msomi Dr Tulia akamchague mvuta bangi sugu?
Narudia huijui mbeya vzr
Itoshe kusema tutarudi hapa baada ya uchaguzi
Tubakize maneno mkuu
 
Narudia huijui mbeya vzr
Itoshe kusema tutarudi hapa baada ya uchaguzi
Tubakize maneno mkuu
Wewe ndo hujui siasa za mbeya kwa sasa niambie ni kitu gani cha kijamii sugu kakifanya ambacho kimewagusa na mbeya hata wampe kula za huruma?
 
Wewe ndo hujui siasa za mbeya kwa sasa niambie ni kitu gani cha kijamii sugu kakifanya ambacho kimewagusa na mbeya hata wampe kula za huruma?
Hata kama Sugu hajafanya lolote lakini huyo Kigagula Tulia HATOBOI.

Na Magu wa kumuibia kura hayupo
 
Tangu aongoze harakati za kukataa kigezo cha vijana kupita jkt NIKAGUNDUA HUYU MAMA HATOSHI kwenye ustawi wa Taifa letu
 
Back
Top Bottom