Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Sidhani kama CDM wataambulia jimbo lolote zaidi ya Tunduma. Tena itategemea na sarakasi za Mbowe na mambo yake ya asali, wanaweza kutoka kapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda we mgeni mbeya🤣Sio kweli ushindi kwake nje nje sugu akomae na hoteli yake
Hivi nyie mbeya mnaijua vzr😄Sidhani kama CDM wataambulia jimbo lolote zaidi ya Tunduma. Tena itategemea na sarakasi za Mbowe na mambo yake ya asali, wanaweza kutoka kapa.
NdotoKwetu kyela tunamrudisha mwakyembe
Mkuu, hivi huyo mwamba atagombea ubunge?Tunawahitaji wasomi kama akina mwabukusi
Labda utawaka wewe spika yupo speed 130 mbele ndio kwanza sugu anafata kanuni na sheria za barabaran amkutie wap sasa??Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawaka
ndio ,lazima agombee na chama ni CHADEMA kwasababu zandani zinaonesha kilakitu anakifanya chini ya uangalizi wa LISU antpass MUGWAI na anavinasaba na CHADEMAMkuu, hivi huyo mwamba atagombea ubunge?
Tulia hawezi kumshinda Sugu hata kama Sugu asipopiga Kampeni. Mbeya ina Kata 36, Tulia anakubalika kwenye Kata za Iduda, Itezi, Igawilo kwa wajinga anaowonga hela ya pombe.Sio kweli ushindi kwake nje nje sugu akomae na hoteli yake
Harrison Mwakyembe yuko kwenye jimbo la kupambana na LGBT. Hana time na ubunge, kwanza anajuwa hakubalikiKwetu kyela tunamrudisha mwakyembe
Sugu yeye anakubalika kwenye vijiwe vya bangi tu ila majority mbeya mjini hawamweli maana hawapendi bangi labda akajaribu kugombea chugaTulia hawezi kumshinda Sugu hata kama Sugu asipopiga Kampeni. Mbeya ina Kata 36, Tulia anakubalika kwenye Kata za Iduda, Itezi, Igawilo kwa wajinga anaowonga hela ya pombe.
Huku kwingine Tulia hakubaliki kamwe
Wewe ndo utakuwa huijui mbeya ya wasomi yaani mtu amwache msomi Dr Tulia akamchague mvuta bangi sugu?Hivi nyie mbeya mnaijua vzr😄
Basi CHADEMA na CCM wote hawana wagombea. Ni wakati sasa ACT ikatumia madhaifu hayaSugu yeye anakubalika kwenye vijiwe vya bangi tu ila majority mbeya mjini hawamweli maana hawapendi bangi labda akajaribu kugombea chuga
Kisomo cha Tulia kimesaidia nini kama ameshindwa kuona ubovu wa mkataba wa DP WORLD?? Au ufisadi kwenye uagizaji sukari.Wewe ndo utakuwa huijui mbeya ya wasomi yaani mtu amwache msomi Dr Tulia akamchague mvuta bangi sugu?
Sasa mambo ya do world yanawahusu nini wanambeya?Kisomo cha Tulia kimesaidia nini kama ameshindwa kuona ubovu wa mkataba wa DP WORLD?? Au ufisadi kwenye uagizaji sukari.
Spika Chawa!Ameenda kuwa wakala wa serikali na siyo mbunge