Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mapambano yoyote yale inatakiwa uwe na uelewa wa kutosha ili uweze kushinda. La sivyo, utapiga kelele lakini huwezi kushinda.Vipengele vingi, havihalalishi kimoja cha Kijinga na cha kuuza nchi!
Angetaka abariki kitu kama hicho angeamuru mkataba ujadiliwe bungeni moja kwa moja. Tunapenda sana kulalamika huku tukisahau kutimiza wajibu wetu.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
HAPO NDIPO MTAKAPOJUA UMHIMU WA MULTIPARTY PARLIAMENT.....Kungepigwa kelele Bungeni Hadi wanaotaka kupitisha huo mkataba WA KARL PETERS wangeona aibu. Sasa Bunge la Chama kimoja hakuna Hoja pinzani ni mwendo wa NDIYOOOOOOOO......unategemea Nini?Tatizo sio spika tatizo anaemteua spika ndio anamamlaka ya kupitisha au kutopitisha mikataba!!
Yeye ameuza vitu vingapi vya umma? Au huzijui biashara zake??Ndugai alituambia. Ndugai aliona mbali mapema. Aliangalia vitu vinavyoendelea, akaona hapa tunakoelekea ni kuuza nchi.
Ukianzisha ugomvi usinichagulie pa kupigaMuwe na staha basi. Sasa mama yake mzazi ameingiaje kwenye mapishano yenu. Mtakuja kupata laana msijue zimetoka wapi kwa kuwahusisha hata wasiokuwepo kwenye ugomvi wenu!
Utakuwa umejichanganya sana kuamini PhD ya mtanzania.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Ndugai amewahi kuwa katika nafasi ya kupiga mnada mali za umma? Au samani za ofisi ya speaker wa bunge la JMT?Yeye ameuza vitu vingapi vya umma? Au huzijui biashara zake??
Tulia must go!!!Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Na kama mkataba umeweka bayana kuwa hauwezi kuvunjwa kwa sababu yeyote ile hata kama patakuwa na breach?Dispute settlement ni taratibu za kutatua migogoro ya mikataba huko sasa ndio breach inapimwa depending na mdai anataka nini; unaweza vunja ata mkataba wenyewe.
Ukipitia thread yote utaona ndio tulichokuwa tunajadili kwa sehemu kubwa; hilo halipo na aliwezekani.Na
Na kama mkataba umeweka bayana kuwa hauwezi kuvunjwa kwa sababu yeyote ile hata kama patakuwa na breach?
Amandla...
KWA huyo spika wenu mnyakyusa Sijui kama hatutauzwa.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?