CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 309
- Thread starter
- #21
watu wengine wana mihemko ndugu,Kwa hiyo Mkapa alikuwa Mnyakyusa, angalia Mwandishi amejikita kwenye uzalilishaji wa jamii yake, sasa hapa Mkapa anaingiaje?
huyo uelewa wake umeishia hapo ndio maana anaona kama kuna ukabila.
ila spika tulia ametukosea sana wanyakyusa kwakua kinara wa kupitisha ule mkataba wa utapeli mkubwa bungeni