mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Sa atakosaje kwa mafanoMpaka rangi mawe hayupo kwenye hili sakata kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa atakosaje kwa mafanoMpaka rangi mawe hayupo kwenye hili sakata kweli?
Akitoka hapo anakuja na mguu mpya wa Tozo...Sa atakosaje kwa mafano
Hana hamu na kitu inaitwa kariakoo... anatamani abinafsishe bandari, kariakoo na ikulu ya magogoni ili awe anashinda dodoma tuuAkitoka hapo anakuja na mguu mpya wa Tozo...
Duuuh kwa hio mwamba kaamua kuuza kipande Cha Tanzania kwa miaka 100 kwa waarabu ?1. King Msukuma. Mbunge wa Geita
Mwamba ile ndiga yake mpya million 500. Ni Rushwa tupu.Duuuh kwa hio mwamba kaamua kuuza kipande Cha Tanzania kwa miaka 100 kwa waarabu ?
Kumbe jamaa anapiga tu bila uwoga aseeMwamba ile ndiga yake mpya million 500. Ni Rushwa tupu.
KIJANA TUHESHIMIANE KUMTAJA MKE WANGU Cute Wife KWENYE KILA UZI NAOMBA UACHE MARA MOJA.Hili suala la bandari kila mtu anajifanya mtaalamu, hadi cute wife nae anatoa maoni.
MWigulu atakosajeMpaka rangi mawe hayupo kwenye hili sakata kweli?
Msukuma kapewa sh ngapi?Jamani hii nchi ni yetu sote. Tuna haki kikatiba kupigania rasilimali za nchi yetu na vizazi vyetu vya baadae.
Hivyo naomba orodha ya Wabunge walio kwenye Payroll ya DP World , walio safiri kwenda Dubai ku saini ule ujinga.
Wabunge hawa, kivyovyote vile hawapaswi kuchangia mjadala wowote wa Mkataba wa DP World na Tanzania iwe Bungeni, Redioni au TV. Tiyari wana Conflict of Interests. Wana uza nchi kwa ajili ya matumbo yao. Mm na anza:
1. King Msukuma. Mbunge wa Geita
Wala haihitaji utaalamu wowote kuwa na uchungu na rasilimali za nchi.Hili suala la bandari kila mtu anajifanya mtaalamu, hadi cute wife nae anatoa maoni.
Hbr yako mlinda legacy!!🤣🤣🤣🤣
Mtajiju huyoooooo
Kazi iendelee...
Pana jamaa alimlipua naona yupo kimya kabisa Masikini tukipata shule tunadhani hakuna tena mwingine aliesoma Tanzania ni dharau tu kwa kwenda mbele...Hana hamu na kitu inaitwa kariakoo... anatamani abinafsishe bandari, kariakoo na ikulu ya magogoni ili awe anashinda dodoma tuu
Hbr yako mlinda legacy!!
Ili tuwajadili na kuwahukumu tukiwa well informed, toa lau shutuma zako na ushahidi tuamua na siyo kutulisha maneno yanayoweza kuwa uzushi hata chuki binafsi. Hii ndiyo maana ya kuwa sehemu ya thinkers. Tafadhali.Mheshimiwa Spika sisi watanzania tunakuomba kwa heshima na taadhima wabunge hawa waitwe kamati ya maadili ya Bunge na baadaye wahojiwe TAKUKURU kwa tuhuma za Rushwa bungeni.
1. Rashid Shangazi Mbunge wa Mlalo- Tuhuma za kushawishi mamlaka kuipa kazi Kampuni ya DP World.
2. Januari Makamba- Mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nishati- Tuhuma za kugawa fedha na majiko ili kuipa upendeleo kampuni za mradi wa gesi wa LNG.
3. Joseph Msukuma- Tuhuma za kuhongwa mamilioni ya dola na kupewa gari jipya VX-V8 ili kuipigania Kampuni ya DP kununua bandari za Tanganyika.
Wabunge wengine tunaweza kuendelea kuwaorodhesha.
Hili suala la bandari kila mtu anajifanya mtaalamu, hadi cute wife nae anatoa maoni.
Hilo neno "king" linatumika vibaya/negatively!King amenenepa pua?Jamani hii nchi ni yetu sote. Tuna haki kikatiba kupigania rasilimali za nchi yetu na vizazi vyetu vya baadae.
Hivyo naomba orodha ya Wabunge walio kwenye Payroll ya DP World, walio safiri kwenda Dubai ku saini ule ujinga.
Wabunge hawa, kivyovyote vile hawapaswi kuchangia mjadala wowote wa Mkataba wa DP World na Tanzania iwe Bungeni, Redioni au TV.
Tayari wana Conflict of Interests. Wana uza nchi kwa ajili ya matumbo yao. Mimi naanza:
1. King Msukuma, Mbunge wa Geita.