Spika Tulia waite kamati ya maadili wabunge hawa tuhuma za rushwa bungeni

Msukuma kapewa sh ngapi?
 
Hana hamu na kitu inaitwa kariakoo... anatamani abinafsishe bandari, kariakoo na ikulu ya magogoni ili awe anashinda dodoma tuu
Pana jamaa alimlipua naona yupo kimya kabisa Masikini tukipata shule tunadhani hakuna tena mwingine aliesoma Tanzania ni dharau tu kwa kwenda mbele...
 
Ili tuwaja Ili tuwajadili na kuwahukumu tukiwa well informed, toa lau shutuma zako na ushahidi tuamua na siyo kutulisha maneno yanayoweza kuwa uzushi hata chuki binafsi. Hii ndiyo maana ya kuwa sehemu ya thinkers. Tafadhali.
 
Hili suala la bandari kila mtu anajifanya mtaalamu, hadi cute wife nae anatoa maoni.

Maza kazingua lazima tumchane ukweli ajue, nyie machawa mnamsifia kulinda ugali wenu, lakini mnajua fika alichofanya kitatucost km taifa bwege wewe.

[emoji2222] hii comment haihusiani na ule mpango wetu wa kutuma na ya kutolea [emoji6]
 
Hilo neno "king" linatumika vibaya/negatively!King amenenepa pua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…