Spika Tulia: Wapinga uwekezaji bandarini waangushiwa kitu kizito. Wanaosema watahamasisha watu wasilipe kodi, wajaribishe waone

Spika Tulia: Wapinga uwekezaji bandarini waangushiwa kitu kizito. Wanaosema watahamasisha watu wasilipe kodi, wajaribishe waone

Huyu Bettina atakuja kupatwa na janga sna huyu mam kawa jeuri Sana kupitiliza Sasa hujui ndugai aliwai kuwa jeuri na fedhuli lkn CCM ikamdampu Kama toilet paper

Ni vyema.akaonjwa mapema Sana
Mwache dada aongee na wapiga kura wake bhana
 
Anatuaibisha sana.Sijui kwanini kabla hawajawa watu wakuu sana wanakuwa loyal na role model lakini kuna ngazi wakifika Uchamungu wao unakuwa kama umemezwa.Nawafahamu wa TAG kadhaa waliokuwa role model baada ya kuingia kwenye siasa na kupata nyadhifa wamekuwa watu hatari kuliko wapagani mara nyingine.Kwakweli ni aibu.
Watu waliopaswa kuwa na hofu ya Mungu,wenye hekima,wenye maneno yaliyojaa kweli tupu na dhamira njema ikiwaongoza.Mwenyehaki anatarajiwa awe kioo.Tofauti na wasiomjua Mungu.
Well hatakama mtazamo labda yuko sawa,labda lakini maneno mbona hayana ladha ya mtu anayemjua Mungu.
John siasa inaweza kukupotezea heshima yako watu waliokuwa wanakuamini wakabaki wanashangaa.

Ni aina tu uwasilishaji kwa kujibu ya audience iliyopo.
 
Ndani ya bunge Spika huyu aliwapiga na kitu chenye ncha kali wale waliopinga uwekezaji wa DP World. Spika huyu sasa anafurahi kuwa nje ya bunge wapingaji hao wamepigwa tena na kitu kizito.

Tuna mu rank vipi Spika huyu wa sasa? Ni nyota ngapi ukimlinganisha na watangulizi wake? Mimi nampa nyota moja, Makinda nyota tatu, Ndugae nne na Samuel Sitta tano.
 
Akili mtu huzaliwa nayo, ELIMU utajikuta duniani,

Ni dhahiri Betina ana Elimu lakini siamini kama ana akili, kama anazo hazitumii!!!
 
Back
Top Bottom