Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfe kbsNi kweli maana wanaume tunanyanyasika sana awamu hii.
🤣🤣🤣🤣🤣Kikao hicho kitahudhuriwa na wanaume warefu na wenye utimamu wa akili sifa ambazo yeye hana
Basi itoshe kusema huo ndio muelekeo wa taifa letu, mwenye macho haambiwi tazama.Kuna utani gani Kwenye Mambo ya Kimsingi, Hakuwa anatania Maana lile ni Bunge sio Kijiwe cha Kahawa. Huyu Speaker wetu Hajui hizo dakika alizompatia huyu Mbuge na yeye Kuongezea Upupu ni Matumizi Mabaya ya Kodi zetu. Tunae speaker wa ajabu sana.. Daah!!!!
Kama unanyanyasika si ukaanzishe nyumba nyingine, au wewe ni marioo?Agenda zetu ni zipi ?
1- Wanaume tunanyasika sana. Mke akiwa na kipato, chake cheke cha mume ndio cha wote...
Unatelekezwa wakati ambao nguvu zimekuishia.Kama unanyanyasika si ukaanzishe nyumba nyingine, au wewe ni marioo?
Leo ndo nimegundua jinsia yako!Mfe kbs
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo ndo nimegundua jinsia yako!
Ila kwa hii reply yako dada unaelekea elekea kujiunga na ccm Wangari, kemea hilo pepo, ccm pekee ndo huwa na roho ya aina hii
Tumechoka kuombwa na ya kutoleaSpika atutake radhi yaani mambo ya wanaume tukamwambie mwanamke?
Unyanduliwe na nan sasaMfe kbs
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Agenda zetu ni zipi ?
1- Wanaume tunanyasika sana. Mke akiwa na kipato, chake cheke cha mume ndio cha wote...
Labda na yeye anaingia MPSpika vipi? Mwanamke amekutana na wanawake wenzake, mlishachelewa! Mlikuwa na nafasi ya kuomba tangu awamu ya kwanza hadi awamu ya tano kumwomba mwanaume mwenzenu (rais wakati huo) kukutana na wanaume wenzake! Hamkuona kama kuna haja hiyo, sasa mnalazimisha mama akutane na mababa!! Kisa eti kwa kuwa mama amekutana na wamama wenzake!! Huo ni wivu sampuli mpya, wivu wa kiume!!!
Ile ni takakata tupuKuna utani gani Kwenye Mambo ya Kimsingi, Hakuwa anatania Maana lile ni Bunge sio Kijiwe cha Kahawa. Huyu Speaker wetu Hajui hizo dakika alizompatia huyu Mbuge na yeye Kuongezea Upupu ni Matumizi Mabaya ya Kodi zetu. Tunae speaker wa ajabu sana.. Daah!!!!
Ndiyo akili yake imeishia hapoYaani haya ndo mawazo ya Spika?
Basi nyamaza usilie, pole.Unatelekezwa wakati ambao nguvu zimekuishia.
Wakati huo watoto na mama yao jambo lao moja...