Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
š¤£[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Taifa kama taifa "kwa umoja wetu twendeni kwa Mwamposa tukaombewe".Imagine Taifa lina agenda kubwa na ngumu za kujadili halafu takataka inachomoza pua yake na kuongea upupu kama huu!Nikisema kuwa Tanzania ina laana kuna watu huwa hawanielewi lakini hizi ndiyo shahidi zenyewe.
AhahahaKikao hicho kitahudhuriwa na wanaume warefu na wenye utimamu wa akili sifa ambazo yeye hana
Bado hatujakamilisha siku 100; aisee Magu usinge mletea utani kama huu!Ila kiukweli kweli nidhamu kwa Rais imeshuka mno.
Hii Spika sijui ya radio gani?Ndiyo akili yake imeishia hapo
Ya kigogoHii Spika sijui ya radio gani?
Mh!Ya kigogo
Umewahi kuona mgogo tajiri?
Siko age hizo aise!Unyanduliwe na nan sasa
Mkutano wa wanaume unaoongozwa na rais mwanamke! Wanaume gani hao?Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Alhamisi, bungeni Dodoma, amemwomba Rais wa Tanzania, Suluhu Samia , kuitisha kikao maalum cha wanaume pekee ili kuwawezesha kujadilia masuala mbalimbali yanayowahusu. ātunaomba Rais aite mkutano wa wanaume tu.ā
Nini Maoni yako?
Yaani mimi toka najitambua..12yrs had leo sijawah ipenda ccm mazee...had nilikua naulizwa why huipendi sina jibu! Nije niipende uzeeni...weeLeo ndo nimegundua jinsia yako!
Ila kwa hii reply yako dada unaelekea elekea kujiunga na ccm Wangari, kemea hilo pepo, ccm pekee ndo huwa na roho ya aina hii
Kuipenda CCM ni sawa na kumpenda shetani na kazi zake zoteYaani mimi toka najitambua..12yrs had leo sijawah ipenda ccm mazee...had nilikua naulizwa why huipendi sina jibu! Nije niipende uzeeni...wee