Spika wa Bunge la JMT siyo lazima awe Mbunge. Mnaoshangilia anguko la Makonda angalieni furaha ya nyani isije kuishia jangwani

Spika wa Bunge la JMT siyo lazima awe Mbunge. Mnaoshangilia anguko la Makonda angalieni furaha ya nyani isije kuishia jangwani

Mnabakia kukomalia na Kutetea ugali wa wengine, wa kwenu hamuangali au mzee una faidika

Ova
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu Daudi Albert Bashite ana nini Special kuliko Wengine walioshindwa Kura za Maoni? Waliopiga Kura hawakuona ?
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!


Yaani ikifikia wakati tuna spika ambaye amewekewa vikwazo vya kusafiri kwasababu ya kutokuheshimu haki za binadamu, mtu ambaye hana heshima ya kumsikiliza Raisi, mtu mwenye tamaa, mtu ambaye kavumishia watu kesi za madawa, mtu ambaye katumia vyeti vya watu kusoma kama mtu huyu ndiyo spika itaonyesha Watanzania tumefikia wapi!!!!
 
Nyie mnaowaza kuwa Makonda ndiye spika ajaye mnafaa kutangulia milembe... Ukitaka kuamini kuwa hamna kitu kichwani subiri muda ufike
 
Ingekuwa spika anateuliwa na rais ok, lakini anapigiwa kura na bunge najua bashite hakubaliki kati ya wabunge.
Alikuwa hakubaliki na ya Wabunge wa Bunge lililopita ambao walikuwa wafanyabiashara ya unga, Makonda alikuwa kichomi kwao. Makonda anakubalika sana kwa Wapiga kura kuliko huko CCM
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kanuni za Bunge zimebadilishwa?.. Last time I checked moja ya takwa muhimu la kuwa spika ni kuwa na shahada ya Sheria angalau moja kutoka Chuo kinachotambuliwa na TCU
 
Sema tu anguko la Bashite linawaumiza. Lemme tell you something. Laiti Jiwe angetaka Bashite ashinde Kigamboni angemsaidia kushinda kwa kuagiza "wachawi" kutoka Kitengo "kufanya vitu vyao."

Sasa kama hakumsapoti kwenye nafasi ndogo tu ya ubunge atamsapoti kwenye Uspika? Halafu huhitaji sana kuelewa siasa za Tanzania kubaini jinsi mahusiano kati ya Bashite na "wanaompigia kura spika" yalivyo.

Poleni na maumivu ya anguko hilo
Kama kilichofanyika kule kwa Mdee (KAWE)
 
Kanuni za Bunge zimebadilishwa?.. Last time I checked moja ya takwa muhimu la kuwa spika ni kuwa na shahada ya Sheria angalau moja kutoka Chuo kinachotambuliwa na TCU
Siyo swala la kanuni za bunge bali ni jambo la kikatiba.

Marando alishawahi kugombea uspika siku nyingi tu na hakuwa mbunge!
 
Bashite naona unajipigia debe la Uspika.

Hukubaliki hata kwa wana CCM wenzako.
 
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.

Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui angalia Dkt. Kigwangalla aliingiaje bungeni kwa mara ya kwanza.

So wale watani zangu wa Ufipa angalieni furaha ya nyani isiishie jangwani mnayedhani mmemuacha Kigamboni mnaweza kumkuta Dodoma amekaa siti ya mbele anaongoza muhimili.

Niwatakie Alhamisi yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
BINAFSI NITAHAMA NCHI.
 
Pole sana, hizi nguvu unazotumia kujifariji ungezitumia Kigamboni kumkampenia Makonda leo usingehangaika hivi.

Halafu mbona mnaihusisha Chadema na kuanguka kwake, waliomkataa Makonda ni wanaCCM wenzake.
NAWASHANGAA SANA HAWA CCM, SASA KWANI CHADEMA NDIO WALIOPIGA ZILE KURA? UJINGA MWINGINE NI WA KIWANGO CHA SGR
 
Pole mkuu naona bado unateseka sana na anguko la Bashite! Lakini kufikilia Bashite kuwa spika wa bunge ni kuchosha kichwa chako bure! Taaluma yake kimo cha spika ni majimarefu! Pia kuhangaika kuwasema watu wa mtaa wa ufipa ni kujipiga mgongoni kufukuza nzi wakati nzi hao wanakuuma mbele ya kifua! Ukifuatilia hata kauli za katibu mkuu wa CCM Dk Bashiru mara kadhaa alionekana kukinzana na kauli za Makonda na sio Bashiru tu wapo wengi ndani ya CCM hawampendi mwana wa Mungu huyu, ndio maana pamoja na kuwahi kuwa DC wa kinondoni lakini alilikimbia jimbo la kinondoni akavuka ng'ambo kule Kigamboni akizania hawapo, wamemtia adabu! Sasa zile kauli za mkoa wangu......watu wangu.......Huku akiwatumia polisi kama mbwa wa kuwafuga nyumbani kwake sasa mwisho!
NASIKIA SASA ANAJISHUGHULISHA NA KILIMO CHA MBOGAMBOGA
 
Hata kama akirudi na tunajua kwamba pengine atarudi ila tumefurahi tuu mkuu alivyokosa.. hahhahahaa ni maisha tuu mkuu wala usipanic
AKIRUDI ATAKUWA AMERUDISHWA NA MZEE WAKE ILA SISI HATUMTAKI HUKU KIGAMBONI NA UJUMBE TUMETUMA.
 
Swala ni kwamba makonda kule kujimwambafai sana kumefanya makundi mbalimbali kufurahi anguko lake, si ndani ya ccm,upinzani wala wananchi wakawaida....mbona watu hawajashangilia mwanri kuanguka wala hawajachukia mkuu wa mkoa ole sendeka kushinda.kuna mengi ya kujiuliza na kujifunza
 
Back
Top Bottom