Uchaguzi 2020 Spika wa Bunge lililopita, Job Ndugai amfananisha Tundu Lissu(CHADEMA) na mnyama wa porini

Uchaguzi 2020 Spika wa Bunge lililopita, Job Ndugai amfananisha Tundu Lissu(CHADEMA) na mnyama wa porini

Haya ni maneno aliyotamka leo ndugu Job Ndugai
View attachment 1567985
Kipindi hiki unatakiwa uvumilivu wa hali ya juu hasa kwa chama tawala na serikali kwa ujumla kwani shetani anaweza akaja kutuvuruga .Na shetani huja kwa njia nyingi na saa nyingine anawajia kama binaadam na sura halisi ya kibnaadam kabisa kama alivyokuja Tundu Lissu.
 
Sasa Lissu amemtukana wapi huyo mama? Huyu mzee anachanganyikiwa?
 
Nausoma mchezo kunatimu imezidiwa wanajipanga kutembeza buti hiyo ndiyo njia pekekee wamebaki nayo
 
Sasa wa kukoma kumtukana mama ni Magufuli au Lissu?
 
Rais Magufuli anatakiwa kujirekebisha sana. Ni mtu mzima, asiropoke kila neno linalomjia...anajitukanisha mwenyewe mara nyingine.
 
Lissu naye ana damu eti kwa sababu ni mtihani mkubwa sana ktk maisha ya binadamu kujaribu kumstahi mtu aliyejaribu kukuua.....

Magufuli ndiye aliyeamuru Tundu Lissu auwawe kinyama kwa risasi zaidi ya 16 lakini adhma yake ikawa blocked na Mungu, wakashindwa....

Lakini badala yake wakamsababishia ndugu huyu mateso na maumivu makubwa ya yeye, ndugu na marafiki ikiwemo kumpa ukilema wa maisha...!!

Ktk mazingira haya Tundu Lissu ni mwanaume hasa na anamstahi sana Magufuli kwa kitendo chake hiki kibaya na cha kinyama kabisa...!!!
Hutu bana halafu likaagiza eti akifa apelekwe moja kwa moja kwao Singida asipelekwe Bungeni na azikwe haraka , kwa kudra za mwenyezi Mungu atakufa yeye atamwacha hai .
 
Kigogo baba tuendelee tu huko Twitter. Mataga wanalalama tu hakuna sera. Wanamjibu Kigogo badala ya kutoa sera zao.
 
Back
Top Bottom