Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili bunge la kijinga hakuna kitu kitafanyikaAkiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.
Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.
Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".
Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.
Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Hovyo kabisa hii polisiPale Ben, Lijenje, Azory na wa kwenye viroba watakapokuwa ana kwa ana na watesi wao.
Kwamba Ben uso kwa uso na Bashite.Pale Ben, Lijenje, Azory na wa kwenye viroba watakapokuwa ana kwa ana na watesi wao.
Hahah eti Mlokole, Thats a simple joke!!Spika Dr Tulia PhD alikuwa UNGA
Nadhani amejifunza mengi ukizingatia yeye ni Mlokole 😃🌹
Ya Magu yanazungumzika.Yale yalee ya magu kuja kutulalamikia wananchi na kutamani angekuwa IGP! Nchi ina mazingaombwe hii🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Sema hawa viongozi wanaojifanya walokole wanashangaza sana. Nadhani viongozi wangejiunga tu na dini ya mizimu chini ya kiongozi wao wa kiroho Yericko Nyerere .Spika Dr Tulia PhD alikuwa UNGA
Nadhani amejifunza mengi ukizingatia yeye ni Mlokole 😃🌹
Mlokole itakuwa ina maana nyingine siku hizi ama ni mimi ndiye nazeeka kwa speed ya mwanga!!Spika Dr Tulia PhD alikuwa UNGA
Nadhani amejifunza mengi ukizingatia yeye ni Mlokole 😃🌹
Yesu ni yule yule Jana, Leo na Milele 🌹Mlokole itakuwa ina maana nyingine siku hizi ama ni mimi ndiye nazeeka kwa speed ya mwanga!!
Zaburi 1: 1 - 6.
Na Mungu ni yule yule, habadiliki.Yesu ni yule yule Jana, Leo na Milele 🌹
Mbinguni hakuna kilichokinyonge kitakachoingia!Tutamalizana hapa hapa na Muumba siku ya kiama :Hapo ndipo watakapomwona mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na Utukufu.Ndipo atakapowatuma Malaika na kuwakusanya wateule wake Toka Pepo nne,Toka upande wa mwisho wa nchi hata upande wa wa mwisho wa mbingu''(Marko13:26,27) .Pale Mafwele atakapokutana na mzee Kibao mbinguni
Maovu na Dhambi zote zilipelekwa msalabani 😀🌹Na Mungu ni yule yule, habadiliki.
Anawapatiliza wana maovu ya baba na mama zao.
Lakini maovu bado yapoMaovu na Dhambi zote zilipelekwa msalabani 😀🌹
Na yataendelea kuwepo Kwa Sababu Shetani ni mjaribu wa MileleLakini maovu bado yapo
Yaani hii point kubwa sana. Ameonyesha unafiki wa hali ya juu sana ndugu spika huyu.Pale mchawi anapojifanya siyo mchawi.. Yeye si alikataa bunge lisijadili mambo ya utekaji?
Shetani ana mwisho wake sio wa mileleNa yataendelea kuwepo Kwa Sababu Shetani ni mjaribu wa Milele
Unajidanganya sana 😂Shetani ana mwisho wake sio wa milele