OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Maelezo ya SportPesa
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
🤣🤣🤣🤣🤣 Yanga inachekesha
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
🤣🤣🤣🤣🤣 Yanga inachekesha