SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

We jamaa naona umehama kwenye mada umekuja kwenye personal attack.

Mambo ya bonus tumejadili kwenye Uzi mwingine umeamua kuleta Hadi huku na hakuna sehemu nimesema bonus ni bora kuliko mkataba yaani umetunga maneno Ili mradi uonekane uko sahihi.
Kwa hiyo bonus ndio personal attack?
 
Maelezo ya SportPesa

Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.

Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.

My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Umepata content, uzuri mwisho wako hua ni aibu
 
Kwa fikra zako unahisi Yanga hakuna wanasheria na hawakujua hilo?
Think again ilo suala linakuja kutolewa ufafanuz very soon
Wanasheria hawa wakina simon patrick huyu aligeragazwa hovyo morison CAS? nyie nyoka wa kibisa acheni utani shauri yenu
 
Kwa timu inayoongozwa na wavulana wanaotegemea mawazo ya wazee kuendesha mambo yao, hata siwashangai kwa huo usanii wa kitoto waliofanya, wao wanategemea ujinga wa mashabiki wao kuwatetea.

Uongozi wa Hersi utaacha alama isiyofutika ya ujinga utopolo, hii mikataba wanayoingia itawavua nguo kila siku, expect more to come.
Sisi Yanga tunatafuta pesa kwa kila njia.
 
wao wanategemea ujinga wa mashabiki wao kuwatetea
Na baraza la wazee kutangaza kususia betting na sportpesa.

Wasusie basi kubet na Sportpesa kama ilivyokuwa kwa Azam walipodanganywa Fei anaenda Azam.
 
Sisi Yanga tunaonewa na kunyanyaswa sana na TFF. Lazima tuende kasi (CAS) haiwezekani tumepata 1.5 Billion Sportpesa anatupiga mkwara TFF wanaangalia tu hawawakatazi.
 
YANGA NA HAIER WANATREND

YANGA ANAPIGA 1.5B

YANGA WATAVAA JEZI HIZI HATA IKITUMIKA BUSARA AMA LAH

MAISHA YATAENDELEA.

Period

Broo uzi wa ngapi huu umeleta kuhusu hii kitu??
 
Wanasheria hawa wakina simon patrick huyu aligeragazwa hovyo morison CAS? nyie nyoka wa kibisa acheni utani shauri yenu
Wewe unaelewaje ukimuona mwanasheria anapewa legal counsel wa ICC baada ya kushindwa high profile case CAS?
Unaelewa hiyo inamaanisha nini?
That means he's good. Morrison angeshindwa kesi, effect yake ingekuwa kubwa sana.
Kwa hiyo kesi kama hizo ili ushinde ni lazima kusiwe hata na doubt kidogo, almost to the criminal level.
But he did put a hell of a show to a high profile case.
Usimchukulie poa yule Nshomire.
 
Maelezo ya SportPesa

Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.

Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.

My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Huyo msemaji anatuzuga tu.
Tatizo bosi wao ni mwana utopolo na uto hawawezi kufanya jambo hili bila yeye kujua.
Hapa uswahili umefanyika.Sport pesa wamesalitiwa na boss wao wenyewe.

Nina uhakika hawatashinda hii battle na inaewezekana wanatafutwa ili wasuse.

Sportpesa ni kama shamba la bibi tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom