SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

Wewe unaelewaje ukimuona mwanasheria anapewa legal counsel wa ICC baada ya kushindwa high profile case CAS?
Unaelewa hiyo inamaanisha nini?
That means he's good. Morrison angeshindwa kesi, effect yake ingekuwa kubwa sana.
Kwa hiyo kesi kama hizo ili ushinde ni lazima kusiwe hata na doubt kidogo, almost to the criminal level.
But he did put a hell of a show to a high profile case.
Usimchukulie poa yule Nshomire.
Hamna kitu nshomile anawaingiza kila kukicha kwenye misuguano ya kimkataba na watu/taasisi
Hebu changamsha bongo hiyo
 
Kesho mnapakatwa hiki kiherehere cha uwakili kitaisha
Ngoja tuone kesho nani anapakatwa kati ya toto la utopolo na Mnyama mkali.

Kesho ndio utajua kati ya mwalimu na wanafunzi nani anajua. Vita ya mwalimu Robertino na wanafunzi Gomes na wenzake. Lazima Uto mtoto akae
 
Hamna kitu nshomile anawaingiza kila kukicha kwenye misuguano ya kimkataba na watu/taasisi
Hebu changamsha bongo hiyo
Kumbe Engine A Hesi ni amesoma (nshomile)
 
Huyo msemaji anatuzuga tu.
Tatizo bosi wao ni mwana utopolo na uto hawawezi kufanya jambo hili bila yeye kujua.
Hapa uswahili umefanyika.Sport pesa wamesalitiwa na boss wao wenyewe.

Nina uhakika hawatashinda hii battle na inaewezekana wanatafutwa ili wasuse.

Sportpesa ni kama shamba la bibi tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Eti una uhakika! Nyie watu akili zenu zinafanana
 
YANGA HAWANA KOSA KWENYE HILI LA MDHAMINI WA JEZI ZA CAFCC.
 
Ukisoma kuanzia comment ya kwanza mpaka ya 14 utagundua kila mara ambapo huwa nasema mama Samia anakazi kufanya kurekebisha bongo za hawa ndugu zetu madunduka.

Hao jamaa wamehukumu kwa kuwasikiliza Sportpesa peke yao hawakua na muda wa kusubiri Yanga ana nini la kusema wao wanaropofyoka tu. Wanaishia kuaibika wao. Nimeishia comment ya 14
 
Maelezo ya SportPesa

Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.

Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.

My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
acha uongo

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Maelezo ya SportPesa

Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.

Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.

My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Wenye akili yanga ni ....[emoji23]
 
Tatizo la Yanga pale ni Engineer anatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Yeye ni Mkurugenzi wa Uwekezaji(GSM.kaajiriwa) wakati huo huo ni Rais wa Club. Na huyo Haiers ni partnership na GSM. Hapa Kuna mgongano mkubwa wa kimaslahi, na wanapoelekea GSM atainunua Yanga Moja kwa Moja kwa sababu ya Njaa iliopo na uelewa mdogo wa MASHABIKI.
Hii ni rasharasha GSM(Bepari) hana huruma lazima anufaike kibiashara. Sawa na SIMBA SC. CLUBS HIZI ZINAENDESHWA kitahira sana kwa sababu ya Njaa ya Pesa na Umasikini wa Akili
 
Tatizo la Yanga pale ni Engineer anatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Yeye ni Mkurugenzi wa Uwekezaji(GSM.kaajiriwa) wakati huo huo ni Rais wa Club. Na huyo Haiers ni partnership na GSM. Hapa Kuna mgongano mkubwa wa kimaslahi, na wanapoelekea GSM atainunua Yanga Moja kwa Moja kwa sababu ya Njaa iliopo na uelewa mdogo wa MASHABIKI.
Hii ni rasharasha GSM(Bepari) hana huruma lazima anufaike kibiashara. Sawa na SIMBA SC. CLUBS HIZI ZINAENDESHWA kitahira sana kwa sababu ya Njaa ya Pesa na Umasikini wa Akili
Akiinunua na timu ikaendelea kupata matokeo hata hakuna shida.

Hata akifaidika lakini Cha muhimu timu inafanya vizuri mashabiki na wanachama hatuna shida Yanga kama tungeendelea kutembeza bakuli leo wakina mayele na wachezaji wengine wasingekuwepo pale.
 
Akiinunua na timu ikaendelea kupata matokeo hata hakuna shida.

Hata akifaidika lakini Cha muhimu timu inafanya vizuri mashabiki na wanachama hatuna shida Yanga kama tungeendelea kutembeza bakuli leo wakina mayele na wachezaji wengine wasingekuwepo pale.
Hata Mwamedi aliahidi kuinunua Simba kwa B 20 lakini kapewa kwa mali kauli ndiyo maana anaweka matangazo yake kwa Mil 150
 
Back
Top Bottom