Kwa hiyo bonus ndio personal attack?We jamaa naona umehama kwenye mada umekuja kwenye personal attack.
Mambo ya bonus tumejadili kwenye Uzi mwingine umeamua kuleta Hadi huku na hakuna sehemu nimesema bonus ni bora kuliko mkataba yaani umetunga maneno Ili mradi uonekane uko sahihi.
Umeandika hapo unadhani mimi ni mmoja wapo niloshiriki kuwazunguka Sportpesa.Kwa hiyo bonus ndio personal attack?
Umepata content, uzuri mwisho wako hua ni aibuMaelezo ya SportPesa
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Accusation ndio personal attack?Umeandika hapo unadhani mimi ni mmoja wapo niloshiriki kuwazunguka Sportpesa.
Wanasheria hawa wakina simon patrick huyu aligeragazwa hovyo morison CAS? nyie nyoka wa kibisa acheni utani shauri yenuKwa fikra zako unahisi Yanga hakuna wanasheria na hawakujua hilo?
Think again ilo suala linakuja kutolewa ufafanuz very soon
[emoji41]Mikataba FC
Wiki yao ya kutrend hiii
Sisi Yanga tunatafuta pesa kwa kila njia.Kwa timu inayoongozwa na wavulana wanaotegemea mawazo ya wazee kuendesha mambo yao, hata siwashangai kwa huo usanii wa kitoto waliofanya, wao wanategemea ujinga wa mashabiki wao kuwatetea.
Uongozi wa Hersi utaacha alama isiyofutika ya ujinga utopolo, hii mikataba wanayoingia itawavua nguo kila siku, expect more to come.
Heloo mtani...tunatania tuu[emoji41]
Na baraza la wazee kutangaza kususia betting na sportpesa.wao wanategemea ujinga wa mashabiki wao kuwatetea
Suburini kesho Singida wawakate kiherehereSisi Yanga tunaonewa na kunyanyaswa sana na TFF. Lazima tuende kasi (CAS) haiwezekani tumepata 1.5 Billion Sportpesa anatupiga mkwara TFF wanaangalia tu hawawakatazi.
Na Haier kama keshatoa hela?Yanga hana hasara kwa jezi za wachezaji,hasara kwa mzigo alokuwa awauzie mashabiki.Ye abandue kisha wakae wajadiliane, huku mtaani waziachie tu.
Mkataba upi?
Wewe unaelewaje ukimuona mwanasheria anapewa legal counsel wa ICC baada ya kushindwa high profile case CAS?Wanasheria hawa wakina simon patrick huyu aligeragazwa hovyo morison CAS? nyie nyoka wa kibisa acheni utani shauri yenu
Hawa wajinga lazima wahamie Burundi alikokuwa anawafukuzishia waTanzania baba yao. Simba hanaga shoo mbovu LupasoSuburini kesho Singida wawakate kiherehere
Kesho mnapakatwa hiki kiherehere cha uwakili kitaishaHawa wajinga lazima wahamie Burundi alikokuwa anawafukuzishia waTanzania baba yao. Simba hanaga shoo mbovu Lupaso
Huyo msemaji anatuzuga tu.Maelezo ya SportPesa
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha