Hamna kitu nshomile anawaingiza kila kukicha kwenye misuguano ya kimkataba na watu/taasisiWewe unaelewaje ukimuona mwanasheria anapewa legal counsel wa ICC baada ya kushindwa high profile case CAS?
Unaelewa hiyo inamaanisha nini?
That means he's good. Morrison angeshindwa kesi, effect yake ingekuwa kubwa sana.
Kwa hiyo kesi kama hizo ili ushinde ni lazima kusiwe hata na doubt kidogo, almost to the criminal level.
But he did put a hell of a show to a high profile case.
Usimchukulie poa yule Nshomire.
Kila siku mfano lini na lini.Hamna kitu nshomile anawaingiza kila kukicha kwenye misuguano ya kimkataba na watu/taasisi
Hebu changamsha bongo hiyo
Ngoja tuone kesho nani anapakatwa kati ya toto la utopolo na Mnyama mkali.Kesho mnapakatwa hiki kiherehere cha uwakili kitaisha
Ishu ya morison na fei bado kizungumkuti kwenuKila siku mfano lini na lini.
Kumbe Engine A Hesi ni amesoma (nshomile)Hamna kitu nshomile anawaingiza kila kukicha kwenye misuguano ya kimkataba na watu/taasisi
Hebu changamsha bongo hiyo
Eti una uhakika! Nyie watu akili zenu zinafananaHuyo msemaji anatuzuga tu.
Tatizo bosi wao ni mwana utopolo na uto hawawezi kufanya jambo hili bila yeye kujua.
Hapa uswahili umefanyika.Sport pesa wamesalitiwa na boss wao wenyewe.
Nina uhakika hawatashinda hii battle na inaewezekana wanatafutwa ili wasuse.
Sportpesa ni kama shamba la bibi tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Simon patrickKumbe Engine A Hesi ni amesoma (nshomile)
Usijilazimishe kuamini.Ishu ya morison na fei bado kizungumkuti kwenu
acha uongoMaelezo ya SportPesa
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Wenye akili yanga ni ....[emoji23]Maelezo ya SportPesa
Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,” amesema Sabrina na kufafanua kuwa, wakati wakisubiri kujua cha kufanya wakaona wenzao usiku wakizindua jezi na kumtangaza mdhamini mpya.
Amesema, tayari wameanza kuchukua Hatua ya kuhifadhi haki yake kutoka kwa mamlaka, kwa kuzingatia wana mkataba na haki ya kuwa kifuani mwa jezi za Yanga kwa miaka ya soka ya 2022 -2025.
My Take
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yanga inachekesha
Ambao umeshindwa kuuonyesha
Akiinunua na timu ikaendelea kupata matokeo hata hakuna shida.Tatizo la Yanga pale ni Engineer anatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Yeye ni Mkurugenzi wa Uwekezaji(GSM.kaajiriwa) wakati huo huo ni Rais wa Club. Na huyo Haiers ni partnership na GSM. Hapa Kuna mgongano mkubwa wa kimaslahi, na wanapoelekea GSM atainunua Yanga Moja kwa Moja kwa sababu ya Njaa iliopo na uelewa mdogo wa MASHABIKI.
Hii ni rasharasha GSM(Bepari) hana huruma lazima anufaike kibiashara. Sawa na SIMBA SC. CLUBS HIZI ZINAENDESHWA kitahira sana kwa sababu ya Njaa ya Pesa na Umasikini wa Akili
Ngoja tuone ntarudi tenaUsijilazimishe kuamini.
Pia usiogope.
Hata Mwamedi aliahidi kuinunua Simba kwa B 20 lakini kapewa kwa mali kauli ndiyo maana anaweka matangazo yake kwa Mil 150Akiinunua na timu ikaendelea kupata matokeo hata hakuna shida.
Hata akifaidika lakini Cha muhimu timu inafanya vizuri mashabiki na wanachama hatuna shida Yanga kama tungeendelea kutembeza bakuli leo wakina mayele na wachezaji wengine wasingekuwepo pale.