kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
'Nionyeshe', .....onya, 'nioneshe'....onaNionyeshe makosa yangu tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Nionyeshe', .....onya, 'nioneshe'....onaNionyeshe makosa yangu tafadhali
'Unamdesha'Ni kweli, alafu haka katabia kakumpangia tajiri afanye nini na asifanye nini kanabidi kaachwe Sir kanazidi kukita mizizi.
.
Wewe hapo unaweza kuwa tajiri mkubwa tu leo hii sijui umepataje mali zako eti nataka nikuone unaemdesha VXR na sio Vitz na unakula Marry brown na sio kwa Shishi food. Ahahahah
Hayo pia ni maoni mkuu,na ndio maana unaona nimetoa pendekezo...kuhusu suala la lugha tunavumiliana tu mkuu maana watu hatufanani,Heading uliyotumia kutoa mawazo yako unaonekana unachuki bure.
Mimi binafsi siwezi kusikiliza kingine Kama sio S.Arena.Ukisema ninkipindi Cha hivyo.Hili neno hivyo ndo linaonekana haliko sawa.Hata Kama Kuna upungufu Fulani Basi ungesema ili utatuliwe,Ndo maana wanasema "ni yetu sote".Toa maoni yako watayafanyia kazi.na sio vijembe
Acha kuandika utumbo'Nionyeshe', .....onya, 'nioneshe'....ona