Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

'Unamdesha'
 
Hayo pia ni maoni mkuu,na ndio maana unaona nimetoa pendekezo...kuhusu suala la lugha tunavumiliana tu mkuu maana watu hatufanani,

ILA SINA CHUKI HATA CHEMBE KAMA NILIVYOTANGULIA KUSEMA
 
Arena chama lao wadau wanajua sana bonge la kipindi
Na huyo mnyakyusa akiondoka hapo hapo ujue kipindi kimekufa....maana waliobaki wote ni wapiga zogo,labda mumnunue kashasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…