Heading uliyotumia kutoa mawazo yako unaonekana unachuki bure.
Mimi binafsi siwezi kusikiliza kingine Kama sio S.Arena.Ukisema ninkipindi Cha hivyo.Hili neno hivyo ndo linaonekana haliko sawa.Hata Kama Kuna upungufu Fulani Basi ungesema ili utatuliwe,Ndo maana wanasema "ni yetu sote".Toa maoni yako watayafanyia kazi.na sio vijembe