Soma hostoria ya Tanzania kijana.Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.
but zinaweza kujenga kilomita 198 za barabara za lami huko kenya mashinani kwenye counties.
au hujui kwamba kenya mashinani kuna shida ya barabara?
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 859297View attachment 859298View attachment 859299View attachment 859300
Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.
mbona mmefata 30 kilometers?.Ndio, lakini sio hela ya kwenda kukenulia meno Wachina, yaani ujumbe wote huo na masuti na makalamu na madaftari tupande pipa kufuata Mchina atupe bilioni tatu.
mbona mmefata 30 kilometers?.
yaani delegation yote ile plus president wenyu mmefata china 30 kilometers. smh
Yeah 30km inategemea ya wapi, double decker road to JKIA, ni kitu hakipo ukanda wote huu hamna mfano wake, kwanza nyie ambao ndio mnasubiri kushangaa fly over yenu ya kwanza. Kitu kama hiki hapa chini mtasubiri sana
Yeah 30km inategemea ya wapi, double decker road to JKIA, ni kitu hakipo ukanda wote huu hamna mfano wake, kwanza nyie ambao ndio mnasubiri kushangaa fly over yenu ya kwanza. Kitu kama hiki hapa chini mtasubiri sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Ahaaa haaa haaa
HAMNA double deck road hapo it's just a (curvelinear) flyover. Which is more or less like the rectilinear one. Only the difference is a banking of lanes to do with a centrifugal force.
Acha kuleta hadithi za Sungura na paka, sisi tunazungumzia Muungano wa East Africa iliyokua huru, achana na hadithi za enzi za ukoloni, huko muungano haukua kwa ridhaa yetu.Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.
ni kama tu vile wakenya mnavyosubiri kwa hamu kubwa kushangaa the first high speed electric sgr in EA that can travel at a speed of 160km per hour.
View attachment 859330
don't worry, you will be invited to take some selfies.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha....povu hilo mzee baba.utajua haujui.SGR ya Kawaida hamna hata kilomita moja, sasa mengine yote hayo ni hadithi za alfu ulela, sisi leo hii SGR tunabisha hodi kwa M7, likija suala la flyovers tunazo za kumwaga zishatuchosha.
hapa kazi tu.SGR ya Kawaida hamna hata kilomita moja, sasa mengine yote hayo ni hadithi za alfu ulela.
Ahaaa haaa haaa
HAMNA double deck road hapo it's just a (curvelinear) flyover. Which is more or less like the rectilinear one. Only the difference is a banking of lanes to do with a centrifugal force.
hapa kazi tu.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
View attachment 859342View attachment 859343View attachment 859344View attachment 859345View attachment 859346View attachment 859347
wewe endelea kubwawaja tu, sisi tunasonga mbele.Picha za zege na vibarua wenu wakichimba chimba hiyo haitoshi, sisi tunasafiri kwa SGR, tunachana mbuga na mapori, subiri tumsaidie M7 kupata kamkopo maana hana hela na hawezi akawategemea nyie LDC.
wewe endelea kubwawaja tu, sisi tunasonga mbele.
hapa kazi tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 859348
Muungano upi huo wa nchi huru za Afrika mashariki wakati nchi za Kenya,Ug na Tz hazikupata uhuru kwa wakati mmoja? East African Airways Corporation yenyewe ilianza kufanya kazi rasmi 1946. Naona ni kama historia inakukanganya, tena sana.Acha kuleta hadithi za Sungura na paka, sisi tunazungumzia Muungano wa East Africa iliyokua huru, achana na hadithi za enzi za ukoloni, huko muungano haukua kwa ridhaa yetu.
Kuhusu mauaji ya wanasiasa wa Kenya baada ya uhuru wa Kenya yalimuogopesha sana Nyerere hata baada ya kuwa na muungano hakuwa free sana na uongozi wa Mzee Jommo Kenyatta, mahusiano ya Nyerere na Kenyatta hayakuwa mazuri, it was just a matter of time, ni kama ilivyosasa kati ya JPM na Uhuru.
hapa ni kazi tu.porojo tumewachia wazee wa sgr ya diesel. [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]Halafu kasafu kenyewe 200km kwenda kwa Waluguru kanawababisha hivi na makelele yote haya......hehehehe
Acha kunipotezea muda, mimi Sio mtoto mwenzako.EAC β East African CommunityMuungano upi huo wa nchi huru za Afrika mashariki wakati nchi za Kenya,Ug na Tz hazikupata uhuru kwa wakati mmoja? East African Airways Corporation yenyewe ilianza kufanya kazi rasmi 1946. Naona ni kama historia inakukanganya, tena sana.
unajidiliana na nywee?.Acha kunipotezea muda, mimi Sio mtoto mwenzako.EAC β East African Community