Spot the difference between Tanzania 🇹🇿 and the rest of Africa 🌍 including Kenya 🇰🇪

Spot the difference between Tanzania 🇹🇿 and the rest of Africa 🌍 including Kenya 🇰🇪

Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.
Soma hostoria ya Tanzania kijana.
Sikiliza hizi video utapata picha


 
but zinaweza kujenga kilomita 198 za barabara za lami huko kenya mashinani kwenye counties.

au hujui kwamba kenya mashinani kuna shida ya barabara?
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 859297View attachment 859298View attachment 859299View attachment 859300

Ndio, lakini sio hela ya kwenda kukenulia meno Wachina, yaani ujumbe wote huo na masuti na makalamu na madaftari tupande pipa kufuata Mchina atupe bilioni tatu.
 
Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.

Duh asante kwa historia hii, sikujua Tanzania ilidandia tuu muungano...Ndio maana hutuchelewesha hivi
 
Ndio, lakini sio hela ya kwenda kukenulia meno Wachina, yaani ujumbe wote huo na masuti na makalamu na madaftari tupande pipa kufuata Mchina atupe bilioni tatu.
mbona mmefata 30 kilometers?.
yaani delegation yote ile plus president wenyu mmefata china 30 kilometers. smh
 
mbona mmefata 30 kilometers?.
yaani delegation yote ile plus president wenyu mmefata china 30 kilometers. smh

Yeah 30km inategemea ya wapi, double decker road to JKIA, ni kitu hakipo ukanda wote huu hamna mfano wake, kwanza nyie ambao ndio mnasubiri kushangaa fly over yenu ya kwanza. Kitu kama hiki hapa chini mtasubiri sana
uhuru-highway-double-decker.png
 
Yeah 30km inategemea ya wapi, double decker road to JKIA, ni kitu hakipo ukanda wote huu hamna mfano wake, kwanza nyie ambao ndio mnasubiri kushangaa fly over yenu ya kwanza. Kitu kama hiki hapa chini mtasubiri sana
uhuru-highway-double-decker.png

Ahaaa haaa haaa
HAMNA double deck road hapo it's just a (curvelinear) flyover. Which is more or less like the rectilinear one. Only the difference is a banking of lanes to do with a centrifugal force.
 
Yeah 30km inategemea ya wapi, double decker road to JKIA, ni kitu hakipo ukanda wote huu hamna mfano wake, kwanza nyie ambao ndio mnasubiri kushangaa fly over yenu ya kwanza. Kitu kama hiki hapa chini mtasubiri sana
uhuru-highway-double-decker.png

ni kama tu vile wakenya mnavyosubiri kwa hamu kubwa kushangaa the first high speed electric sgr in EA that can travel at a speed of 160km per hour.
IMG_20180906_222330.jpg

don't worry, you will be invited to take some selfies.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahaaa haaa haaa
HAMNA double deck road hapo it's just a (curvelinear) flyover. Which is more or less like the rectilinear one. Only the difference is a banking of lanes to do with a centrifugal force.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatumia nguvu nyingi sana kutupia pumba. Hata hujui mwaka ambao Tom Mboya aliuawa na kwamba muungano wa awali kabisa wa nchi za Afrika mashariki, ulikuwa baina ya Kenya na Uganda, mwaka wa 1917 na Tanganyika ikaingia miaka kumi baadaye, 1927. Yaani yote yalikuwa chini ya mipango ya mkoloni.
Acha kuleta hadithi za Sungura na paka, sisi tunazungumzia Muungano wa East Africa iliyokua huru, achana na hadithi za enzi za ukoloni, huko muungano haukua kwa ridhaa yetu.

Kuhusu mauaji ya wanasiasa wa Kenya baada ya uhuru wa Kenya yalimuogopesha sana Nyerere hata baada ya kuwa na muungano hakuwa free sana na uongozi wa Mzee Jommo Kenyatta, mahusiano ya Nyerere na Kenyatta hayakuwa mazuri, it was just a matter of time, ni kama ilivyosasa kati ya JPM na Uhuru.
 
ni kama tu vile wakenya mnavyosubiri kwa hamu kubwa kushangaa the first high speed electric sgr in EA that can travel at a speed of 160km per hour.
View attachment 859330
don't worry, you will be invited to take some selfies.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

SGR ya Kawaida hamna hata kilomita moja, sasa mengine yote hayo ni hadithi za alfu ulela, sisi leo hii SGR tunabisha hodi kwa M7, likija suala la flyovers tunazo za kumwaga zishatuchosha.
 
SGR ya Kawaida hamna hata kilomita moja, sasa mengine yote hayo ni hadithi za alfu ulela, sisi leo hii SGR tunabisha hodi kwa M7, likija suala la flyovers tunazo za kumwaga zishatuchosha.
hahahaha....povu hilo mzee baba.utajua haujui.
 
SGR ya Kawaida hamna hata kilomita moja, sasa mengine yote hayo ni hadithi za alfu ulela.
hapa kazi tu.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
tapatalk_1536263077417.jpeg
tapatalk_1536263079964.jpeg
tapatalk_1536263082139.jpeg
tapatalk_1536263084844.jpeg
tapatalk_1536263086698.jpeg
tapatalk_1536263088643.jpeg
 
Ahaaa haaa haaa
HAMNA double deck road hapo it's just a (curvelinear) flyover. Which is more or less like the rectilinear one. Only the difference is a banking of lanes to do with a centrifugal force.

Tangu ujifunze hiyo misamiati miwili ya curvelinear na rectilinear, kwa siku tano sasa umekua uki paste humu, japo mie sio muhandisi wa masuala ya barabara (hivyo uki-copy paste misamiati, inawezekana nisibishe sana) lakini wewe hapo unazungumzia overpass ambazo hutumika kwenye intersections, mimi naongea kuhusu upper decker road stretching 30km on top of another and both leading same direction.
 
Picha za zege na vibarua wenu wakichimba chimba hiyo haitoshi, sisi tunasafiri kwa SGR, tunachana mbuga na mapori, subiri tumsaidie M7 kupata kamkopo maana hana hela na hawezi akawategemea nyie LDC.
wewe endelea kubwawaja tu, sisi tunasonga mbele.

hapa kazi tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_2018-09-06-23-01-12-643_com.twitter.android.jpg
 
Acha kuleta hadithi za Sungura na paka, sisi tunazungumzia Muungano wa East Africa iliyokua huru, achana na hadithi za enzi za ukoloni, huko muungano haukua kwa ridhaa yetu.

Kuhusu mauaji ya wanasiasa wa Kenya baada ya uhuru wa Kenya yalimuogopesha sana Nyerere hata baada ya kuwa na muungano hakuwa free sana na uongozi wa Mzee Jommo Kenyatta, mahusiano ya Nyerere na Kenyatta hayakuwa mazuri, it was just a matter of time, ni kama ilivyosasa kati ya JPM na Uhuru.
Muungano upi huo wa nchi huru za Afrika mashariki wakati nchi za Kenya,Ug na Tz hazikupata uhuru kwa wakati mmoja? East African Airways Corporation yenyewe ilianza kufanya kazi rasmi 1946. Naona ni kama historia inakukanganya, tena sana.
 
Back
Top Bottom