Sri Lanka waandamanaji wajipa raha ndani ya vyumba vya Ikulu

Sri Lanka waandamanaji wajipa raha ndani ya vyumba vya Ikulu

Tanzania Nchi Yetu Sote

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
505
Reaction score
872
Waandamanaji nchini Sri Lanka wamefanikiwa kuingia Ikulu na kufika mpaka chumbani kwa Rais. Waandamanaji hao wamerusha picha kwenye mitandao zikiwaonyesha wakiwa wamelala kitandani kwa Rais huku wengine wakiwa sebuleni wakiangalia 'breaking news' ya maandamano yao.


20220710_131850.jpg
 
Waandamanaji nchini Sri Lanka wamefanikiwa kuingia Ikulu na kufika mpaka chumbani kwa Rais. Waandamanaji hao wamerusha picha kwenye mitandao zikiwaonyesha wakiwa wamelala kitandani kwa Rais huku wengine wakiwa sebuleni wakiangalia 'breaking news' ya maandamano yao.
View attachment 2286097

Kuna ile wana wajuba wanaswim kwa pool la prezo kama yote yaani
 
na ndoto ya mazezeta ya ccm ni kuongeza tozo na kupatisha bei ya mafuta 2025 lazima mnye huku kanda ya ziwa hata mpige pushap mpaka mtajamba cheche kura no.
Wewe unayeongozwa na zezeta akili yako ina hali gani?
 
Waandamanaji nchini Sri Lanka wamefanikiwa kuingia Ikulu na kufika mpaka chumbani kwa Rais. Waandamanaji hao wamerusha picha kwenye mitandao zikiwaonyesha wakiwa wamelala kitandani kwa Rais huku wengine wakiwa sebuleni wakiangalia 'breaking news' ya maandamano yao.
View attachment 2286097
Huyo hapo ni rais wa nchi hiyo jinsi alivyo toroshwa kutoka ikulu na kwenda mafichoni.
 
Back
Top Bottom