Sri Lanka waandamanaji wajipa raha ndani ya vyumba vya Ikulu

Sri Lanka waandamanaji wajipa raha ndani ya vyumba vya Ikulu

Endeleeni kujazana upepo tu kuwa ipo siku mtafanya hivyo kulala kwenye vitanda vya Ikulu.

Twendeni tukalime vijana wenzangu.

Punguza dharau. Usijifanye Mungu. Nyie so ndio mlikuwa mnaimba Magufuli atawale milele Leo yupo wapi?. Nyie mlichobakiza ni kukopa na tozo . Maisha ni magumu Wala hamjali. Ipo siku yenu.
 
Wakishaandamana watapata nini? Watakaa humo njaa itawauma watarudi home, it's a foolishness in a mass order

Foolishness kwako. Kama wewe umeridhika kununua mafuta shilingi 3200, na kulipa tozo na kukubali Bei ya vitu kupanda. Naomba usilazimishe wote wawe Kama wewe.
 
Tatizo unataka tabia yako ya uoga uambukize watu wote. We jifungie ndani acha wanaotaka kureact wareact. Watu Kama nyie ndio mnawapa kiburi kina mwigulu waambie Raia wasiotaka tozo wahamie Burundi.

Kuna wanakijiji walivamia kituo cha polisi wakachoma moto polisi walichukua silaha zao wakakimbia kesho yake waliwachangisha hao hao hana kijijini wakakikarabati, ujinga tu
 
Bongo ni pasua kichwa mkivamia magogoni Rais yuko chamwinoo

Wanavamia kote Wa dar magogoni wa dodoma chamwino. Halafu siku sio nyingi, siku mafuta yakifika Lita moja shilingi elfu tano kwa Lita ndio utaelewa, juzi Hapa serikali iliogopa ikaweka billioni Mia, subiria mwezi wa kumi utaniambia.
 
Wakishaandamana watapata nini? Watakaa humo njaa itawauma watarudi home, it's a foolishness in a mass order
Wapinzani wanachachochea kma kuni za ngomani zikiisha na ngoma ikwesha
 
Uoga wa kitanzania usifikiri upo kote. Subiria mwezi wa kumi Lita moja ifike shilingi elfu tano ndio utaelewa maana ya wenye nchi ni kina Nani. Nyie ni wale mnaodhani nchi Ni Mali ya Polisi na jeshi. Mmezoea kuua Raia wenzenu ili kiwafurahisha bwana zenu wa CCM .

Wapinzani wanachachochea kma kuni za ngomani zikiisha na ngoma ikwesha
 
Back
Top Bottom