Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Matokeo ya nchi kufilisikaWaandamanaji nchini Sri Lanka wamefanikiwa kuingia Ikulu na kufika mpaka chumbani kwa Rais. Waandamanaji hao wamerusha picha kwenye mitandao zikiwaonyesha wakiwa wamelala kitandani kwa Rais huku wengine wakiwa sebuleni wakiangalia 'breaking news' ya maandamano yao.
View attachment 2286097