Endeleeni kujazana upepo tu kuwa ipo siku mtafanya hivyo kulala kwenye vitanda vya Ikulu.
Twendeni tukalime vijana wenzangu.
Hakuna jeshi hiyo inchi.
Wakishaandamana watapata nini? Watakaa humo njaa itawauma watarudi home, it's a foolishness in a mass order
Kuna wanakijiji walivamia kituo cha polisi wakachoma moto polisi walichukua silaha zao wakakimbia kesho yake waliwachangisha hao hao hana kijijini wakakikarabati, ujinga tu
Bongo ni pasua kichwa mkivamia magogoni Rais yuko chamwinoo
Jibu mujaarab kabisa, akirudi wataondoka
Wapinzani wanachachochea kma kuni za ngomani zikiisha na ngoma ikweshaWakishaandamana watapata nini? Watakaa humo njaa itawauma watarudi home, it's a foolishness in a mass order
Wapinzani wanachachochea kma kuni za ngomani zikiisha na ngoma ikwesha
Wachaguane sasa apo nan rais nan makam wagawane majukum kwa walipofikia inaonekana kila kitu kinawezekana nchi hiyo [emoji3][emoji3][emoji3]
African tunalaana ya madarakaAsingetoka mtu hai humo
Hata kufika wangefikaje wangekuwa maiti wote Langoni tu la ikulu