St A Cakes: Pata cake tamu, mchambuko kwa bei poa

Sijawai hata kujarib kupamba, maana sijajua vifaa vinavyo hitajika ni vip na vipi,[emoji18] ila natamani sana nijifunze

Vifaa muhimu kuwa navyo wakati wa kupamba ni hivi;

Turning table
Screpa/Spatula ama vyote.
Piping bag
Nossel/Nozzle
Base
Rangi.
Ladha

Vinginevyo;
Sprinkles/vipipi
Vitana
Vipepeo
Balls
Cheni
Na madude kibao kulingana na unavyotaka cake iwe.

Ingredients za buttercream
Icing sugar 1box ambayo ni 500g
Prestige/blueband/kimbo/ Mo mpishi 100g
Vinegar
Maji kiasi
Ladha.
 

Asante,
Eh kutengenez mchanganyiko ili upambe ndo wanafanyje, nahitaji darasa madam kama inawezekan[emoji120]
 
Asante,
Eh kutengenez mchanganyiko ili upambe ndo wanafanyje, nahitaji darasa madam kama inawezekan[emoji120]
Unachukua prestige
Unaipiga kiasi.

Unaanza weka icing sugar kidogo kidogo..
Kama vile unavyoongeza unga unavyosonga ugali.
Hakikisha umeichekecha kwanza vizuri.

Utaweka Hadi iishe.

Ongezea vinegar,na ladha ..

Tenga butter kwenye sehemu 3:-
Ya kwanza iongezee maji
Iwe laini.

Hii sasa ndio inatumika kupamba coat ya kwanza.

Unaacha cake ikauke.

Unaenda coat ya 2,
Butter icing nzito..
Hakikisha unapakaza kote vzr.
Then unasawazisha na screpa / spatula
kufanya ikae level.

Waweza ongeza urembo wa maua.
Ile fungu la mwisho,weka kwenye piping bag pamoja na nossel
Chora maua..
Ukitaka vipipi weka,na madubwasha mengine.
 

Asante sana, nitajaribu alf nikutumie picha, naomb niwe mwanafunzi wako wa kudumu wa mapishi tofauti maan nakufuatiliaga sana qweny ule uzi pendwa “uzi wa vyakula”[emoji39]
 
Asante sana, nitajaribu alf nikutumie picha, naomb niwe mwanafunzi wako wa kudumu wa mapishi tofauti maan nakufuatiliaga sana qweny ule uzi pendwa “uzi wa vyakula”[emoji39]
Karibu dear ila mimi mwenyewe mwanafunzi [emoji23]
Nunua kwanza hivyo vifaa nilivyokutajia..
Ukishanunua ntakupa video ya namna ya kupamba.
 
Keki Mchambuko Hatari Sana!!!!! Raha Sana Tanzania
 
Kazi nzuri Mrs. Liverpool.
Wengine si wapenzi wa keki, ila kuna kamoja hapo nimekaona nimepata idea, nitakuunga mkono ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…