Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,Swali lako lina jibu lahisi. Hii shule uwa wanachukua "cream" ya wanaofaulu mitihani ya darasa la saba. Kwa kuwa ni kimbilio la kila mtu basi wale "vipanga" woote wanaoongoza darasa la saba kitaifa ndio wanaochukuliwa na kunolewa kidogo...hizi shule zilizobaki "zinaokoteleza zalokauka"
🤣🤣🤣🤣moto wao inabidi uwe ViceVersa is true 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Twenzetuni mdogo mdogo [emoji23]View attachment 2083225
Kaka hiyo ilikuwa zamani...wakati shule za Serikali za msingi zilipokuwa zinafanya vyema na wazazi wengi walikuwa hawajapata mwamko wakuwapeleke watoto wao shule binafsi tofauti na siku hizi..Hakuna mzazi aneyeweza kumpeleka mtoto wake aliyemaliza Feza au Hazina kwenye shule hizo ulizotaja...Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,
bro acha kunisemaaaMpaka wenyewe wanashangaa lakini huku vyuoni wanaondoka na GPA za 2.9
Hahahahaha hamna brooobro acha kunisemaaa
We ni mwongo hafu uongo unaoandika hapa ni wa kitotoHio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....
Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema
Umesoma na mtoto gani wa St Francis?Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...
Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya NECTA...
Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa, ila paper linasoviwa week kadhaa kabla ya NECTA na hayo maswali ndio yanatoka NECTA, mbaya zaidi walimu wanawasisitiza.
Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...
Wananunua mtihani, pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea, walimu wazuri, malazi na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Ukiambiwa uthibitishe hayo unenayo utaweza?Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....
Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema
Wacha makasiriko wewe!Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....
Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema
Unachokiweza mkuu ni kumshabikia pep kipara...haya mengine yaache TU...Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...
Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya NECTA...
Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa, ila paper linasoviwa week kadhaa kabla ya NECTA na hayo maswali ndio yanatoka NECTA, mbaya zaidi walimu wanawasisitiza.
Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...
Wananunua mtihani, pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea, walimu wazuri, malazi na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Aisee aliyebuni hili jina ni fala kweli na hapo itakuwa wazazi wengi wamepigwa ada kwasababu ya hilo jinaTwenzetuni mdogo mdogo [emoji23]View attachment 2083225
Atapata connection ya life na watoto wa level ya kata.Kwanza sipeleki mtoto huko, nampeleka kata hizo Hela namuwekea Kama mtaji, div 3 inatosha na Hela ya mtaji juu
Nimecheka Sana MKUU...wacha tujifariji TU kwa kauli za kishujaa[emoji1787][emoji1787]Huna hela wewe, ni kawaida kwa mafukara kujifariji kwa kauli za kishujaa.
Hii yote kuhangaika kutafuta ma connection toka shule ni sababu ya umasikini!!Atapata connection ya life na watoto wa level ya kata.
Tunawapeleka watoto shule za pesa Ili wawe na connection na watoto wa wenye pesa na level za maamuzi mfano matajiri, wanasiasa,mawaziri,nk Ili huko mbeleni watapeana michongo ya life.Life is impossible without connection.
Baba boss, mfanyabiashara Mkubwa,mama mbunge, mjomba ni director kampuni ya nje,dada ni manager kampuni ya madini,nk plus plus, mtoto wake anamtafutia Kazi,tenda, biashara pa zuri mtoto wake kasoma na mwanao,zimwi likujualo maclassmet hawatupani.
Umewaza mbali[emoji1787][emoji1787]Lipia tangazo mkuu
Uclassmate ni hazina ya maisha SAwa na ilivyo vyeti.Hii yote kuhangaika kutafuta ma connection toka shule ni sababu ya umasikini!!
Mkuu sio rahisi sana kila mwaka ununue mitihani na Mamlaka zikae kimya tu.Sikia nikwambie mkuu maisha ya shule Mimi nayajua Tena zaidi ya unavodhani ...
Shule kubwa kama hizo ,zinawalimu wakubwa Sana wenye uzoefu wa hali ya juu ,na wanakuwa na connection na walimu wengine zaidi ..
Wanaotunga mitihani ni walimu kutoka kanda mbalimbali ,na wabobevu ,hutoa maswali na mwisho wa siku mtihani kitungwa ...
Utake usitake ,upende usipende hizi shule zinamazingira Safi ,walimu Safi ,lakini wananunua mitihani week kadhaa kabla ya pepar ,.....
Fuatilia mitihani wanayofuanya week mbili kabla ya mtihan pre -necta ,ready for necta ,hio ndio mitihan inayotolewa imejaa maswali yanayotoka necta ...
Sio kwamba wanasoviwa siku ya mtihan hapana ,wanafanya maswali yatakayotoka necta week kabla na walimu wanasisitiza kuyakalili ,....
Kama Kuna swali gumu ambalo linasahaulika ,basi mwalimu ataliimba darasana kila siku na mwisho wa siku wanalikuta necta ....
A inaanzia 81-100 ,bro mtihan wa physics , mathematics , biology , chemistry kwa watoto wote 97 wapate A ,???????? Hawa wa kibongo kabisa ? Woteeeee ? ....
Aiseee ,Mimi nakataa hayo matokeo ...hao watoto uwezo wao wa kawaida tu ,sio wa kupata huo ufaulu wote ,kwa kusema sijui walimu Bora ,mazingira Bora ,...
Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,
Hizo A walizozipata hata wanafunzi wa shule nyingine wamepata A. St Francis A za Physics ndizo zilizo wasumbua ambazo hata shule nyingine hawajazipata.Sikia nikwambie mkuu maisha ya shule Mimi nayajua Tena zaidi ya unavodhani ...
Shule kubwa kama hizo ,zinawalimu wakubwa Sana wenye uzoefu wa hali ya juu ,na wanakuwa na connection na walimu wengine zaidi ..
Wanaotunga mitihani ni walimu kutoka kanda mbalimbali ,na wabobevu ,hutoa maswali na mwisho wa siku mtihani kitungwa ...
Utake usitake ,upende usipende hizi shule zinamazingira Safi ,walimu Safi ,lakini wananunua mitihani week kadhaa kabla ya pepar ,.....
Fuatilia mitihani wanayofuanya week mbili kabla ya mtihan pre -necta ,ready for necta ,hio ndio mitihan inayotolewa imejaa maswali yanayotoka necta ...
Sio kwamba wanasoviwa siku ya mtihan hapana ,wanafanya maswali yatakayotoka necta week kabla na walimu wanasisitiza kuyakalili ,....
Kama Kuna swali gumu ambalo linasahaulika ,basi mwalimu ataliimba darasana kila siku na mwisho wa siku wanalikuta necta ....
A inaanzia 81-100 ,bro mtihan wa physics , mathematics , biology , chemistry kwa watoto wote 97 wapate A ,???????? Hawa wa kibongo kabisa ? Woteeeee ? ....
Aiseee ,Mimi nakataa hayo matokeo ...hao watoto uwezo wao wa kawaida tu ,sio wa kupata huo ufaulu wote ,kwa kusema sijui walimu Bora ,mazingira Bora ,...
Ni kweli kuna shule za kata zipo hovyo sana, sasa ukitaka mtoto wa kata apate cheti. Basi unamtengenezea A mtoto wa St Francis.mitihani inatungwa rahisi kisiasa kwa ajili ya wanasiasa wa ccm kuja kusema 'ufaulu umeongezeka'. kwa hali kama hiyo na kwa shule kama St. Francis ambapo nyenzo na mazingira ni rafiki sana kwa wanafunzi, ufaulu wa aina hii unatarajiwa.