St. Francis Mbeya kuna siri gani?

St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Swali lako lina jibu lahisi. Hii shule uwa wanachukua "cream" ya wanaofaulu mitihani ya darasa la saba. Kwa kuwa ni kimbilio la kila mtu basi wale "vipanga" woote wanaoongoza darasa la saba kitaifa ndio wanaochukuliwa na kunolewa kidogo...hizi shule zilizobaki "zinaokoteleza zalokauka"
Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,
 
Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,
Kaka hiyo ilikuwa zamani...wakati shule za Serikali za msingi zilipokuwa zinafanya vyema na wazazi wengi walikuwa hawajapata mwamko wakuwapeleke watoto wao shule binafsi tofauti na siku hizi..Hakuna mzazi aneyeweza kumpeleka mtoto wake aliyemaliza Feza au Hazina kwenye shule hizo ulizotaja...
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....

Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
We ni mwongo hafu uongo unaoandika hapa ni wa kitoto

Empty stupid wasted sperm
 
Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...

Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya NECTA...

Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa, ila paper linasoviwa week kadhaa kabla ya NECTA na hayo maswali ndio yanatoka NECTA, mbaya zaidi walimu wanawasisitiza.

Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...

Wananunua mtihani, pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea, walimu wazuri, malazi na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Umesoma na mtoto gani wa St Francis?
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....

Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Ukiambiwa uthibitishe hayo unenayo utaweza?
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....

Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Wacha makasiriko wewe!
Kwa mwaka unakula 2.6 siyo??
Ukiumia sana na mafanikio ya watu bora
Unywe maji ulale.
 
Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...

Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya NECTA...

Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa, ila paper linasoviwa week kadhaa kabla ya NECTA na hayo maswali ndio yanatoka NECTA, mbaya zaidi walimu wanawasisitiza.

Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...

Wananunua mtihani, pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea, walimu wazuri, malazi na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Unachokiweza mkuu ni kumshabikia pep kipara...haya mengine yaache TU...
 
Kwanza sipeleki mtoto huko, nampeleka kata hizo Hela namuwekea Kama mtaji, div 3 inatosha na Hela ya mtaji juu
Atapata connection ya life na watoto wa level ya kata.
Tunawapeleka watoto shule za pesa Ili wawe na connection na watoto wa wenye pesa na level za maamuzi mfano matajiri, wanasiasa,mawaziri,nk Ili huko mbeleni watapeana michongo ya life.Life is impossible without connection.
Baba boss, mfanyabiashara Mkubwa,mama mbunge, mjomba ni director kampuni ya nje,dada ni manager kampuni ya madini,nk plus plus, mtoto wake anamtafutia Kazi,tenda, biashara pa zuri mtoto wake kasoma na mwanao,zimwi likujualo maclassmet hawatupani.
 
Atapata connection ya life na watoto wa level ya kata.
Tunawapeleka watoto shule za pesa Ili wawe na connection na watoto wa wenye pesa na level za maamuzi mfano matajiri, wanasiasa,mawaziri,nk Ili huko mbeleni watapeana michongo ya life.Life is impossible without connection.
Baba boss, mfanyabiashara Mkubwa,mama mbunge, mjomba ni director kampuni ya nje,dada ni manager kampuni ya madini,nk plus plus, mtoto wake anamtafutia Kazi,tenda, biashara pa zuri mtoto wake kasoma na mwanao,zimwi likujualo maclassmet hawatupani.
Hii yote kuhangaika kutafuta ma connection toka shule ni sababu ya umasikini!!
 
Sikia nikwambie mkuu maisha ya shule Mimi nayajua Tena zaidi ya unavodhani ...

Shule kubwa kama hizo ,zinawalimu wakubwa Sana wenye uzoefu wa hali ya juu ,na wanakuwa na connection na walimu wengine zaidi ..

Wanaotunga mitihani ni walimu kutoka kanda mbalimbali ,na wabobevu ,hutoa maswali na mwisho wa siku mtihani kitungwa ...

Utake usitake ,upende usipende hizi shule zinamazingira Safi ,walimu Safi ,lakini wananunua mitihani week kadhaa kabla ya pepar ,.....

Fuatilia mitihani wanayofuanya week mbili kabla ya mtihan pre -necta ,ready for necta ,hio ndio mitihan inayotolewa imejaa maswali yanayotoka necta ...

Sio kwamba wanasoviwa siku ya mtihan hapana ,wanafanya maswali yatakayotoka necta week kabla na walimu wanasisitiza kuyakalili ,....

Kama Kuna swali gumu ambalo linasahaulika ,basi mwalimu ataliimba darasana kila siku na mwisho wa siku wanalikuta necta ....

A inaanzia 81-100 ,bro mtihan wa physics , mathematics , biology , chemistry kwa watoto wote 97 wapate A ,???????? Hawa wa kibongo kabisa ? Woteeeee ? ....

Aiseee ,Mimi nakataa hayo matokeo ...hao watoto uwezo wao wa kawaida tu ,sio wa kupata huo ufaulu wote ,kwa kusema sijui walimu Bora ,mazingira Bora ,...
Mkuu sio rahisi sana kila mwaka ununue mitihani na Mamlaka zikae kimya tu.

Lazima watachukua hatua.
 
Vipanga wa la 7 wengi wako Kibaha, Mzumbe, Ilboru,Kisimiri,Kilakala,msalato,

Waliopo huko ulipopataja ni vipanga maskini. Mtu asome primary za mamilioni na aongoze halafu apelekwe shule za serikali akale maharage yaliyooza kweli? Ama vyakula vibovu vya wazabuni wasiolipwa kwa wakati
 
Sikia nikwambie mkuu maisha ya shule Mimi nayajua Tena zaidi ya unavodhani ...

Shule kubwa kama hizo ,zinawalimu wakubwa Sana wenye uzoefu wa hali ya juu ,na wanakuwa na connection na walimu wengine zaidi ..

Wanaotunga mitihani ni walimu kutoka kanda mbalimbali ,na wabobevu ,hutoa maswali na mwisho wa siku mtihani kitungwa ...

Utake usitake ,upende usipende hizi shule zinamazingira Safi ,walimu Safi ,lakini wananunua mitihani week kadhaa kabla ya pepar ,.....

Fuatilia mitihani wanayofuanya week mbili kabla ya mtihan pre -necta ,ready for necta ,hio ndio mitihan inayotolewa imejaa maswali yanayotoka necta ...

Sio kwamba wanasoviwa siku ya mtihan hapana ,wanafanya maswali yatakayotoka necta week kabla na walimu wanasisitiza kuyakalili ,....

Kama Kuna swali gumu ambalo linasahaulika ,basi mwalimu ataliimba darasana kila siku na mwisho wa siku wanalikuta necta ....

A inaanzia 81-100 ,bro mtihan wa physics , mathematics , biology , chemistry kwa watoto wote 97 wapate A ,???????? Hawa wa kibongo kabisa ? Woteeeee ? ....

Aiseee ,Mimi nakataa hayo matokeo ...hao watoto uwezo wao wa kawaida tu ,sio wa kupata huo ufaulu wote ,kwa kusema sijui walimu Bora ,mazingira Bora ,...
Hizo A walizozipata hata wanafunzi wa shule nyingine wamepata A. St Francis A za Physics ndizo zilizo wasumbua ambazo hata shule nyingine hawajazipata.
Kwahiyo kilichopo kwao ni high concentration kwa masomo 7 ndiyo sababu hawapati A masomo 10. Angalia katika shule 50 bora wanafunzi wanapata A za masomo 1-4. Hivyo kumbe kwa wao kupata A 7 siyo issue. Bali ni mipango mizuri ya shule.
 
mitihani inatungwa rahisi kisiasa kwa ajili ya wanasiasa wa ccm kuja kusema 'ufaulu umeongezeka'. kwa hali kama hiyo na kwa shule kama St. Francis ambapo nyenzo na mazingira ni rafiki sana kwa wanafunzi, ufaulu wa aina hii unatarajiwa.
Ni kweli kuna shule za kata zipo hovyo sana, sasa ukitaka mtoto wa kata apate cheti. Basi unamtengenezea A mtoto wa St Francis.
 
Back
Top Bottom