Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Naunga mkono hoja,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba possession 55% pass accuracy 81% wakati vita 78% dakika ya 68, pass 335 kwa 285 za Vita
 
Naunga mkono hoja,

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu waandishi wetu wa habari ni hovyo kabisa...baada ya kuandika habari za kuhamisha ushindi na tahadhari wao wanaandika habari kishabiki...yaani habari za mipasho...Eti gazeti kubwa la michezo linaandika habari kishabiki...SIMBA YAFANYA KUFURU KONGO, yapangua hujuma...uandishi wa aina hii ni wa kitoto kabisa...baadala ya gazeti kuandika kwa uchambuzi na kutoa tahadhari eti wenyewe wanaandika habari za kufagilia...in fact maazeti ya Tanzania yana mchango mkubwa katika kuzorotesha na kuathiri maendeleo ya soka nchini mwetu...ovyo sana...baadala ya kuandika habari kuhusu technicalities na tactics za timu pinzani uwanjani eti wao wanaandika habari kishabiki na kwa lengo la kuuza magazeti...ovyo kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…