Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Simba wana udhaifu mkubwa sana kwenye uzuiaji wa mapigo ya kona.

Yote kwa yote kila mtu anavuna point nyumbani kwake
 
Yanaendana hadhira yenu...watu wa mpira akili zao wote zimakaa kiswazi swazi so wenye gazeti wako sawa kabisa...

Angalia ata maongezi yenu yalivo
 
Bado moja, mkono utimie na tarehe 1 March mnaenda Misri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…