Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Enzi ya kushusha presha na Pepsi 😹😹Unanikumbusha mbali sasaiv imepoa sana Lamomy kaokoka 😂
Dah.! Ila kweli nimekua ss hivi mpk kina secretarybird wananitania nacheka siwachachui 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi ya kushusha presha na Pepsi 😹😹Unanikumbusha mbali sasaiv imepoa sana Lamomy kaokoka 😂
Njoo 😂Enzi ya kushusha presha na Pepsi 😹😹
Dah.! Ila kweli nimekua ss hivi mpk kina secretarybird wananitania nacheka siwachachui 🤣
Ushatoka kifungoni we mbuni wa kijani 😹Njoo 😂
Sasaiv tutaishusha na kahawa sikuiz ukiingia selfika comment chache mno ban zilikuwa zinatembea duhEnzi ya kushusha presha na Pepsi 😹😹
Dah.! Ila kweli nimekua ss hivi mpk kina secretarybird wananitania nacheka siwachachui 🤣
Ulijuaje kama wewe siyo mod 🤣Ushatoka kifungoni we mbuni wa kijani 😹
Kujishauri nafikiri ndio sahihi.Anajivuta kupokea cm
SawaKujishauri nafikiri ndio sahihi.
Tumia kitufe cha kuripoti tuone hayo matusi
Unaweza Kuta karipoti mara kibao ila hamjalifanyia kazi kuweni sana makini pindi tunapo ripoti ili mpate taarifa kwa wakati maana hata Mimi huwa naripoti haifanyiwi kazi mpaka niwafate pm badilikeni ndugu zanguTumia kitufe cha kuripoti tuone hayo matusi
Khaaa! Kumbe unaendaga hadi pm kuchongea🤣Unaweza Kuta karipoti mara kibao ila hamjalifanyia kazi kuweni sana makini pindi tunapo ripoti ili mpate taarifa kwa wakati maana hata Mimi huwa naripoti haifanyiwi kazi mpaka niwafate pm badilikeni ndugu zangu
Sio pm tu hata ofisini kwao naenda paleKhaaa! Kumbe unaendaga hadi pm kuchongea🤣
🙌🙌🙌🙌🤣Sio pm tu hata ofisini kwao naenda pale
Mtego, kuna fisi zinaenda kupigwa ban baada ya kuzama pm kwa pupa hapaCookie inaonekana ni mrembo sana.
Hakuna reported post ambayo haifanyiwi kazi.Unaweza Kuta karipoti mara kibao ila hamjalifanyia kazi kuweni sana makini pindi tunapo ripoti ili mpate taarifa kwa wakati maana hata Mimi huwa naripoti haifanyiwi kazi mpaka niwafate pm badilikeni ndugu zangu
😃😃😃😃Hakuna reported post ambayo haifanyiwi kazi.
Siwapendi woteStaff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁.
Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje tu maana sisi wote ni people.
View attachment 3226026
View attachment 3226027
View attachment 3226028
View attachment 3226029