ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Wapi unachanganyikiwa?Mbona unanichanganya??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi unachanganyikiwa?Mbona unanichanganya??
Niombee Max aniajiri nitakupa hadi uplatinum😍🤣🤣🤣 Mimi nataka badge kama yako hiyo kwa njia za chini chini.
Anajivuta kupokea cmKujishauli ndio kufanyaje?
Ndio anaekupaga ban nn my Wii😂Kabisa hana baya. Igweeeeeeeee
Ni kosa, maongezi yanabaki kuwa ya wawili walioyaanzisha.Active kwa mfano nikashare maongezi ya PM hukohuko PM nayo ni kosa au kuyashare hapa jukwaani ndiyo kosa?
Mtu asije kufanya kosa na hajui kama ni kosa.
Au nimekumbuka wachana na hivyo. Turejeshee JLW🥹Niombee Max aniajiri nitakupa hadi uplatinum😍
NAkazia,. Ana kauchawa flani hiviUna kiherehere kinaelekea kuwa kimuhemuhe
Hebu simulia vizuri 😂😂😂Mnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?
aya sawa fanya mpango wa access ya jukwaa Great thinkerNi kosa, maongezi yanabaki kuwa ya wawili walioyaanzisha.
Hapo kwenye kumuwahiWapi unachanganyikiwa?
Kwani course hukumaliza?Au nimekumbuka wachana na hivyo. Turejeshee JLW🥹
Hata mimi nataka kusikia vizuri hii story 🤣🤣🤣 akisimulia niiteHebu simulia vizuri 😂😂😂
Wii ban za selfika umezisahau?? 😹Ndio anaekupaga ban nn my Wii😂
Nilimaliza na Kuna ma file sijayapata kwingine tena zaidi ya mule.Kwani course hukumaliza?
Itakuwa kweli sikuwepo Wii 😂😂😂Wii ban za selfika umezisahau?? 😹
Nikikumbuka nachekaga sana, kuna zile tulipewa wengi km mvua ila wewe hukuwepo.!!
Ile siku saint Anne alilalamika hadi ngunyani zake zimefutwa, akapost tena zikafutwa, tukaanza kuwachamba mods tukala ban wote tuliokuwa tunamsema mod aliyekuwa anafuta picha na comments 🤣🤣🤣
Nilicheka walivyosema eti kuna wenzio walikuwepo wakaondoka wakatuacha, wewe kazi umeanza juzi unaleta ujuaji na mods hawamjui 😹😹 ila watu wa selfika vibuyu sana.!! Mara pap tuakatembezewa ban za kutosha tukaja kuachiwa kesho yake wacha tucheke 🤣🤣🤣