Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 292
- 895
C: C Lamomy tajiri mavocha anakuteta huku.πππKuna mwanetu mmoja hapa kama angepewa umodi basi Kuna id zangu alitamani sana kuziunga huyu mwanetu π π au angenipiga life banned sema ndio hawezi huyu πππ
Wote tu ni wa hovyo,. Kwasabu Pm zangu nikiandika mods wote huwa wanaalikana kujibuHawa wana viburi sana ila sio wote wengine wapo gudi sana
Active kwa mfano nikashare maongezi ya PM hukohuko PM nayo ni kosa au kuyashare hapa jukwaani ndiyo kosa?Hujui ku-share maongezi binafsi (PM) ni kosa?
Kumbe!Namuonga Fesibuku tu huko lile ndio robot la JF
Umuwahi umfanye nn?Kwamba? Mimi ndio sifai kumuwahi mtu?
We ni mod tunakujua.
Then Equation balanced.Id zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio id
Usikute tokea jf ianzishwe kwenye id ya active wameshapita wafanyakazi hata 10.
Max afanye aniajiri hapo Jf HQThen Equation balanced.
And Balance sheet Balanced. Am going home
Wakifanya hivyo sikia nenda kampe ushahidi Maxence Melo atalifanyia kazi fasta sana au mcheki kwenye wasapu kule atalifanyia kazi jamaa yupo vizuri sana sema vijana wake ndio wamekuwa miyeyusho sanaWote tu ni wa hovyo,. Kwasabu Pm zangu nikiandika mods wote huwa wanaalikana kujibu
Ningekutumia hata jina lake lakini nitapigwa Ban bureKumbe!
Mwanaume na mwanamke huwa wanafanya nini?Umuwahi umfanye nn?
Wewe ulijuaje kama ni yeyeπNingekutumia hata jina lake lakini nitapigwa Ban bure
Ile fomu ya mwaka jana ya maombi ya kazi ulijaza? Kama ndio subiria uwenda ukaitwa pale HQ za jfMax afanye aniajiri hapo Jf HQ
YEah nilifanya hivyo,. Nilimtafuta Whatsap na alinisolvia tatizo langu... Ila hawa wachumia tumbo wengine nimewanyoshea mikono juu.Wakifanya hivyo sikia nenda kampe ushahidi Maxence Melo atalifanyia kazi fasta sana au mcheki kwenye wasapu kule atalifanyia kazi jamaa yupo vizuri sana sema vijana wake ndio wamekuwa miyeyusho sana
Mbona unanichanganya??Mwanaume na mwanamke huwa wanafanya nini?
π€£π€£π€£ Mimi nataka badge kama yako hiyo kwa njia za chini chini.