Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwamba lilimkaa sana rohoni na njia ya yeye kupata ahueni nikulizungumza, kila mtu ana aina yake ya kutoa kitu rohoni ili apate nafuuNi aibu mwanaume kuzungumzia maswala ya ndoa,mitandaoni kama mmeachana sema kwa ufupi tu tumeachana basi,mengine hayawahusu
thanks mzee kwa correctionmonetize your account
sawaJana aliitwa clouds hakwenda akapigiwa roma akasema huo wimbo kaimba kitu kilichomtokea kweli,Na roma akasikitika sana maana ndoa ya stamina aliisimamia yeye pamoja na mkewe anasema imemtia doa maana ni ndoa yake ya kwanza kuisimamia inapovunjika inaonekana yeye kama msimamizi kashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kale kachezaj Cha Simba kutoka moroni mchezaji yupi huyo sasa alimega..?
kwani waliachana..?Kwani yeye Roma karudiana na mkewe? Sasa kama ya kwake tu ilivunjika kwa nini ashangae ya Stamina ikivunjika?
Sent using Jamii Forums mobile app
@katoto kazuri ulielewa ulikua unamaanisha nini hapa?Jokajeusi,
Nimeambiwa sijafichwa lolote ndio maana sifichi nasema kuwa ni mmbaya au mfupi.
Je nikikuambia wewe unasura mbaya wala huvutii unamademu wenye sura mbaya unajisifu ila zero wewe ni marioo .
Unasubiri wafu approvide .
Je hiyo wewe inaakaje utapenda sikia jambo mmoja uwenda wewe hujui wenzako tumepiga hatua so kama wewe bado uko huko mwanzo ambapo katoto kazuri ni msichana umedoda katoto kazuri saizi ni mwanamke anayejitambua naukiona nasema jambo lazima niseme kama wewe unakuja kujilipua huku basi utajiju.
Nimemaliza ukiendelea na move on na comment zenye busara .
Unakuwa na mijisifa madharau na kujiona tafuta wanaopenda hivyo vitu sio mimi.
Hao wenye michapo na kila aina ya stress hu mwaka mimi sitaki kero.
Wakukujibu wapo wengi, mi nakutazama tuVip mkuu mke wa stamina amesharudi kwake maisha yanaendelea? Au bado wanafanya biashara
Au tuendelee kukazia Palepale kua wewe ni Mzee wa maono ya Ovyo Ovyo..
Sent using Jamii Forums mobile app