Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

Tukana uchoke humu unapaona kama USA hivi poa.
Ila maisha si humu.
Maisha si umario maisha ni yale halisi uliyonayo


Wewe si ulijisikia raha kumpaka Maneno ya shombo Stamina. Sasa kibao kimegeukia kwako.

Mkuki kwa nguruwe huo. Siku nyingine jifunze kutumia lugha nzuri. Watu wasipokutukana haimaanishi hauna mapungufu.
 
Wabongo kwa Kujifanya Wachambuzi na Wenye Maono ya mbali hamjambo
Mkuu niamini mimi hata issue ya Ndege kudondoka Anga la Irani tulikaa na masela kijiweni nikawaambia ile ndege imetunguliwa wote walinibishia wakasema hapana ni ajali ya kawaida nadhani mpaka sasa nikifika kijiweni hawazungumzii tena kama hawajui Iran/USA wamesema nini.

Na hili la Stamina na Roma ni FUTUHI tu.
 
Wwe si umesema wwe ni second wife alafu bado pia unataka na michepuko ebu tuache Ukwimu upo kweli wengine tunapenda afya zetu ndiyo maana tumebaki njia kuu hatuchepuki hata kama una shepu kama Beyonce wa JZ!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakuambia na muhitaji mtu tayari mimi ni mke wa mtu.
Wewe umeniambia mimi sio wife material na mimi nakuuliza wewe ni husband materialistic naninani yeye hapendi afya yake nanani umemwona anaukimwi ila katika maisha ukimnyoshea mtu kidole vitatu vinarudi kwako.
Au mchimba kaburi huingia mwenyewe ila anategemea mwingine aingiye.
Umekaa nyuma ya hako kasimu kako unajidanganya maisha yanarudi nyuma .
Maisha yanaenda mbele .
 
Mwana nimekukubali uko vizuri sana kwenye kuangalia mambo kwa jicho la tatu! Kweli hako kademu Stamina alikapiga chini ndiyo maana mpaka leo bado kanatangatanga na Dunia alafu kanatulazimisha eti yeye ni mke wa mtu, kwani kaulizwa nanani au kanijiwai tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom