jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Ila na wwe unaonekana ni kicheche sana hauna sifa za kua wife material!Tukana uchoke humu unapaona kama USA hivi poa.
Ila maisha si humu.
Maisha si umario maisha ni yale halisi uliyonayo
Sent using Jamii Forums mobile app