Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

Jana aliitwa clouds hakwenda akapigiwa roma akasema huo wimbo kaimba kitu kilichomtokea kweli,Na roma akasikitika sana maana ndoa ya stamina aliisimamia yeye pamoja na mkewe anasema imemtia doa maana ni ndoa yake ya kwanza kuisimamia inapovunjika inaonekana yeye kama msimamizi kashindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani yeye Roma karudiana na mkewe? Sasa kama ya kwake tu ilivunjika kwa nini ashangae ya Stamina ikivunjika?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo manzi na mm nmekula

Oya mtabisha

Finyeni ukuta kama mmemind
 
Stamina na Roma ni wahuni tu, Stamina alikuwa anatembea sana na machangudoa , halafu katoka kuoa tu ndoa changa, hata Shilawadu waliwahi kufatwa na Dada mmoja kazulumiwa hela baada ya sex na stamina , Stamina akabisha, ikafanyika kuunganishwa kwenye simu akakiri hadharani baada ya kuunganishwa maongezi. , kumbe alimdanganya mke wake ameenda kwenye show , walikuwa na Roma .

Hata Roma na yeye ndio zake , wakienda mikoani ni hivo hivo ,

Sasa nashangaa Stamina Anamuhukumu mke wake na kuwashauri watu wasioe ,

Narudia mwenye matatizo makubwa ni Stamina ,

Ndoa ya Roma imeyumba sana kidogo ivinjike kwa uhuni wao huo huo na Stamina , sema yule Dada Nancy mvumilivu na tayari ameshazaa na Roma watoto wawili ,
 
Jokajeusi,
Nimeambiwa sijafichwa lolote ndio maana sifichi nasema kuwa ni mmbaya au mfupi.
Je nikikuambia wewe unasura mbaya wala huvutii unamademu wenye sura mbaya unajisifu ila zero wewe ni marioo .
Unasubiri wafu approvide .
Je hiyo wewe inaakaje utapenda sikia jambo mmoja uwenda wewe hujui wenzako tumepiga hatua so kama wewe bado uko huko mwanzo ambapo katoto kazuri ni msichana umedoda katoto kazuri saizi ni mwanamke anayejitambua naukiona nasema jambo lazima niseme kama wewe unakuja kujilipua huku basi utajiju.
Nimemaliza ukiendelea na move on na comment zenye busara .
Unakuwa na mijisifa madharau na kujiona tafuta wanaopenda hivyo vitu sio mimi.
Hao wenye michapo na kila aina ya stress hu mwaka mimi sitaki kero.
 
Mmh aisee mbona umeongea kwa hisia sana una ugomvi gani binafsi na wahusika?
Mi shangazi wa stamina namwambiaga aoe mke mfupi ila hataki ona kilichompata sasa kazi stress za kila mara.
Nakutuletea nuksi unaoa shangingi halafu unatuletea stress.
 
Kwa kebehi zako kama unaweza kuumba mtu wako vile!!!

Et kafupi kama funza[emoji28] niishie hapa
😂🤣 siwezi umba mtu ni Mungu Pekee hata mimi nakosolewa kabisa tena wao ndio furaha yao ila kwa nini isiwe furaha yangu??
 
Kweli dunia ina mambo...nimeupenda wimbo kwsbb unaonekana too real kumbeeee...
 
Kuna ukweli yule demu ni wale mashangingi ya pale samaki spot moro.... Demu c kamaliza st joseph kakalia sana misumali mpka ya boda boda,

Inaweza kuwa ukweli, jamaa alikurupuka kuvuta lile kokoteni chakula ya wahuni ile.

MashineNene[emoji533][emoji1646]
 
Saw
blance86,
Sawa msemaji wa Familia ya Stamina na Mshenga wa Bwana Harusi👍👍👍👍
 
mayowela,
Wabongo tunapenda sana umbea na vitu visivyo na maana utashangaa Amber Rutty kupewa Ubalozi wa Kinga.

Stamina hawezi kuweka wazi kwamba Alichapiwa na KICHUYA hataka kama ni Kweli.....Ni kiki ya kutafuta Mileage kwenye muziki tu na pia hii ni kiki kitendo cha Roma kuweka wazi mgogoro wa ndoa ya stamina yaani ni full ze comedi na futuhi.
 
katoto kazuri,


We move on naujinga wako huko. Unadhani tupo tayari kukuona ukibaki hapa na ujuha wako.

Ati katoto kazuri kanajielewa. Unajielewa nini kama sio upuuzi tuu. Wadanganye hao wageni wa JF.

Wewe kama ni popoma kwa nini usidharaulike na upopoma wako. Upopoma sio maumbile.

Ulichokipanda ndio unakivuna sasa. Wewe kama unaona mimi ninadharau ndivyo ulivyomsema huyo Stamina na ufupi wake.

Unadharau watu alafu hutaki kudharaulika wewe si popoma kweli
 
Jokajeusi,
Tukana uchoke humu unapaona kama USA hivi poa.
Ila maisha si humu.
Maisha si umario maisha ni yale halisi uliyonayo
 
Back
Top Bottom