joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ni aibu mwanaume kuzungumzia maswala ya ndoa,mitandaoni kama mmeachana sema kwa ufupi tu tumeachana basi,mengine hayawahusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Make google your friends, it's Google is there for uYep we uliewahi naomba unielekeze
Dogo Shabalala.Ni mchezaji gani wa simba alikua anamchapia??
nshamckia foby anasema ili kupata hela kupitia YouTube ni lazima u emotize account yakoSamahani kwa mwenye uelewa juu ya hii kitu anifafanulie. Youtube kumlipa mtu mwenye channel kutokana na viewers inawezekanaje na inafanyikaje
hahahahahahhaadonlucchese, Wwe ndiyo umestukia maisha ya Wasani Wa kibongo alafu eti stamina na ma Best wote wanamatizo katika ndoa zao na wote wametoa nyimbo mpya haahaahaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo alitakiwa apige kimya majamaa wafaidiMmmmmmmmh atulie huko na yeyee hajui kuwa kuchapiwa no Siri ya ndani, mxieeeeeeeeeeeew zakeeeeeeeeh huyu boniventure.
Sent using Jamii Forums mobile app