Mkuu
Sexless , kwanza nikushukuru kwa imani yako kwangu, ni kweli hayo yote yako ndani ya uwezo wangu, na kiukweli sijakwama popote bali ni mipangilio tuu!.
Hili halihitaji uchunguzi, ile ilikuwa ni ajali tuu, ila eneo la Pandambili ni very notorious kwa ajali za ajabu ajabu, sio ajali ya Wangwe tuu , hata Salome Mbatia alipatia ajali eneo hilo hilo na kupoteza maisha!. Mimi mwenyewe nilipatia ajali eneo hilo hilo, nikaponea tundu la sindano!
this is valid
this is valid but very dangerous undertaking
I knows about this, its not true.
Ni ukoo wa kifalme wa Dubai
Hii inaingilia the right to privacy, kama hatukuuliza kwa Nyerere, Mwinyi, Ben, JK na.JPM, why Samia?.
Kuna issues kuhusu asili ya JPM niliiulizia ...
P