Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!

Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!

Naomba niende mbali zaid kwa kumlaumu huyu marehem.Hajaacha legacy yoyote kwakua hakuandaa watu kama yeye wa kuendelea pale alipoishia.Na hili ndio tatizo la watu wengi weusi..Ni wao kama wao tuu wakiondoka wao bas inabaki stori..no mentoring at all.Angalia angle tofaut tofaut utagundua hili.Hawapendi kuwaandaa watu mapema kwa ajil ya legacy yao matokeo yake wakifa wao na kila kitu chao kinakufa
 
Naomba niende mbali zaid kwa kumlaumu huyu marehem.Hajaacha legacy yoyote kwakua hakuandaa watu kama yeye wa kuendelea pale alipoishia.Na hili ndio tatizo la watu wengi weusi..Ni wao kama wao tuu wakiondoka wao bas inabaki stori..no mentoring at all.Angalia angle tofaut tofaut utagundua hili.Hawapendi kuwaandaa watu mapema kwa ajil ya legacy yao matokeo yake wakifa wao na kila kitu chao kinakufa
Watu hata wewe unaweza kuandaa kwani alikuwa anapigania mali za ukoo wake?
 
Naomba niende mbali zaid kwa kumlaumu huyu marehem.Hajaacha legacy yoyote kwakua hakuandaa watu kama yeye wa kuendelea pale alipoishia.Na hili ndio tatizo la watu wengi weusi..Ni wao kama wao tuu wakiondoka wao bas inabaki stori..no mentoring at all.Angalia angle tofaut tofaut utagundua hili.Hawapendi kuwaandaa watu mapema kwa ajil ya legacy yao matokeo yake wakifa wao na kila kitu chao kinakufa
Nchi hii inahitaji reform ya hali ya juu

Ova
 
Masikini_Jeuri

Gazeti lake liliitwa Mfanyakazi, kila wiki nilihakikisha napata nakala yangu. Humo ndani pia kulikuwa na hadithi za mtunzi maarufu Agoro Anduru, sijui kaishia wapi siku hizi. Na column fulani ndogo ya vichekesho iliyokuwa ikiitwa Nipashe, yenye picha ya sikio kuubwa.

Nilisikitishwa sana na kifo cha Stan Katabaro, Mungu amweke pema na aisaidie familia yake, Amen.
Agoro anduru ni marehemu
 
Hao investigative journalists wote mliotaja ni wa kina iwe bojo. Kuna kitu inaashiria hii fact
 
Kabendera shinani,aliamya kujiua baada ya kutishwa na kagame ambae alimtumia ujumbe kuwa atamuua,basi akajitupia ziwani akafa
Aliacha ujumbe uliosema ,Rwanda hawanitaki na Tanzania hamnitaki.Issue kubwa ni kesi aliyofunguliwa mwaka huo huo 2000 alipokamatwa anajiandikisha kama mpiga kura mjini Bukoba.Alishakana uraia wa Tanzania baada ya kuhamia Rwanda na kuchukua uraia wa huko,hii ilimsababishia kupoteza uraia wa Tanzania na hivyo kupoteza haki za kisiasa kama kupiga kura.
 
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson Mbwambo,nauliza kifo chake kilisababishwa na nini hasa?wanaokumbuka watujuze
Noma
 
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson Mbwambo,nauliza kifo chake kilisababishwa na nini hasa?wanaokumbuka watujuze
Hatari sana.
 
Loliondogate,kashfa kubwa kuwahi kutokea katika Taifa hili enzi za utawala wa Rais Mwinyi ilipelekea mwandishi mahiri wa habari Comrade Stan Katabalo apoteze uhai wake kwa jinsi alivyokuwa akiandika pasipo kumung'unya maneno kadhia hiyo.

Sasa tumebaki kuwa na waandishi wa habari vibaraka wa wanasiasa na wanaolamba viatu vy wanasiasa.

Kifo cha Stan hakijawahi kuchunguzwa na taarifa yake kuwekwa hadharani maana hakikuwa cha kawaida.

Natoa wito kwa UKAWA kuchunguza upya kifo cha Stan na kukomesha uporaji wa raslimali za taifa unaoendelea Loliondo - Mungu akiwajaalia wakashinda uchaguzi.
Apumzike kwa amani
 
Alikufa ghafla!

Kumfananisha Kubenea na Stan, ni kumpandisha tuu chati Kubenea, Stan alikuwa akiandika investigative journalism kwenye developing story, Kubenea anaandika udaku kwenye medani za siasa, sio uchunguzi in a really sense ya uchuguzi.

Waliotaka kufuata nyanyo za Katabalo, ni This Day na Kulikoni, walioanza, wakati wakifuatilia story ya Rada.
Mmh!!
 
Namkumbuka stan katabalo huyu jamaa aliandika mengi lakini kilichotamba zaidi kipindi anaandikia gazeti la mfanyakazi,ambapo ulikua ukitaka gazeti la mfanyakazi unaambiwa ununue na uhuru(GAZET.)

Nakumbuka alikuwa kama mtabiri haya yanayotokea Loliondo kwa sasa; yeye aliyaona mwaka 1992. Alituahidi kutupa makala kumi mfululizo za kuhusu mkataba wa TBL aliandika MENO YA MAKABURU YAING"ATA TZ maskini baba wa watu akatutoka kabla hajatuelez yaliokuemo kwenye mkataba ule na nina imani kifo chake kikapelekea na kifo cha gazeti la mfanyakazi.

Sijui kuhusu mke wala watoto wala ndugu ila i alway miss him.

RIP KATABALO.
Hatari sana!
 
Back
Top Bottom