Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!

Kwahiyo hapa umeshafanya uchunguzi na haya nfo majibu.
 
 
UTAWALA WA MWINYI NDO ULIMWONDOA KUTOKANA NA KASHFA YA LOLIONDO. WATOTO WENGI HAWAJUI. HAYA MAMBO.
 
Kubenea ni kweli hawezi vaa viatu vya Stan Katabalo. Stan alikuwa msomi na mwenye misimamo hasa. Kubenea ni mbabaishaji tu.
 
 
 
Umeandika vitu muhimu
 
Alikuwa kama si mmiliki basi mwandishi wa gazeti la Motomoto. Misukosuko ilimuanzia baada ya kuandika habari kuu mbili kama ifuatavyo;

1. Zanzibar yajiunga na OIC
Hapa Zenji walijiunga bila kushirikishwa Tz bara. Lakini kama kawa, walianza kukana na mwisho ikaja onekana ni kweli. Jamaa akapotezwa

2. Loliondo yauzwa kwa waarabu
Ukiingia kwa Loliondo huku ukiwa na simu, inakukaribisha uarabuni. Yaani upo TZ lakini unakaribishwa uarabuni. Hii iliashilia kwamba Loliondo imeuzwa. Kama kawa, serikali ilikana. Lakini ikaja onekana ni kweli. Jamaa akapotezwa

Mwisho wa siku, gazeti lake likafungiwa milele na yeye "kuuwawa" kimiujiza..!!
 
Dah mwamba alikuwa mwamba kweli, Watu kama hawa inabidi wakumbukwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…