Kuna mfanyabiashara ndogo ndogo yupi unayemfahamu ambae ana account yake Standard chartered Bank?Kiuchumi ni mbaya maana investments kwa wafanyabiashara wadogo hazitakua. Hivyo kuendelea kushikwa na Moguls.
Sjaelewa,,ma Rc kuwakamua Uber na Standard chattBila katiba Mpya wataondoka wengi. Maana hawa maRC wanaokwenda kuwakamua pesa kwa lazima kinyume na sheria lazima wakimbie tu
Here for good imefika mwisho safari hii ama?.Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?
Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.
NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Hawa na tawi tu. Makao makuu yapo. Hivyo deni litakusanywa tu.Mbona wamenipa mkopo mkubwa juzi, wakisepa ntazilipaje?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mama anaupiga mwingi sana..Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?
Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.
NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Tigo imeondoka Tanzania, kuna ajira imepotea? Standard Charted kuondoka, haimaanishi benki imefilisika, hapana, bali wanauza share zao. na benki inaendelea kama kawaida.Kwa sasa Tanzania siyo nchi salama sana kwa wawekezaji, kauli ya mtu mmoja ndio sheria. Huyo mtu akitamka kila kitu kinabadilika, investors wanataka kuwa na uhakika na uwekezaji wao.
Huwa tunaona katiba mpya inawahusu wanasiasa tu, ajira za watu zinaenda kuondoka hapo, na hasara zingine kibao...!
Maanina.. si kila kukicha wanaua SME's wanahis biashara ni kwa wakubwa tuu sasa ngoja tuone.. wenyew wanasema wafanya biashara wadogo hawalipi kosi.. hahaha.. kitendo cha kufukuza machinga tu road kimeathiri 80% ya biashara na ndomana maisha yamekua magum sana.. unaweza ukadharau ila wa Tz weng walikua wanafanya biashara huko barabaran.. mzunguko wa pesa umeharibika.. hao machinga ndio walikua wateja wa mabank.. vile vibanda ulikua unaona road ndio walikua wakopaj wakubwa wa hivvyo vibank uchwara mitaan na saccos.. tutaelewana tuKiuchumi ni mbaya maana investments kwa wafanyabiashara wadogo hazitakua. Hivyo kuendelea kushikwa na Moguls.
Wew si anti -magu wew.. unalia nn sasaMda haujawah danganya, tunaendelea kuomba uzima ili tuone Kwa uzuri zaidi jinsi nchi inavyofunguliwa , shame
Umeandika upumbavu.. yaan hali ya uchumi inazid kuwa mbaya kila kukicha na matatzo mengne kama umeme etc halaf unataka watu wasiione tofaut na wasiseme...? Sema hiviii wew ndo wa hovyo.. na wa ajabu.. kwann watu wasilinganishe?..Ukifuatilia wachangiaji wengi, Kuna tatizo mahala nchi hii.
Ifikie hatua Watanzania tujue nini tunataka kwa wakati gani, aliyofanya Nyerere kwa wakati wake yalikua sahihi kwa wakati huo, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Maguful pia.
Tunatakiwa kujua tunataka nini kwa sisi kujikwamua lakini kutwa nzima watu wanalinganisha serikali zilizopita, unafikiri Kuna Rais atakaa Ikulu na kutulia? Atakua anafanya kama anashindana na mtangulizi wake ilihali alitakiwa kupeleka Tanzania mbele bila kujali nani alifanya nini.
Matokeo yake tunadumaa na kuamini maendeleo ni kumzidi mtangulizi wako.
Tuanze kuilinganisha Tanzania na nchi zilizoendelea, tuangalie mataifa ya ulaya, China na Marekani yako wapi, wanapiga hatua gani za kimaendeleo.
Haya Magenge yetu ni hovyo na yanakua kama laana kizazi hadi kizazi.
Kweli mtu anakaa na kusema fulani kaleta maendeleo sio kama fulani, Tanzania ina maendeleo? Shuwain.
Wanakimbia kashfa ya kutumika kutakatisha pesa za mabilioni.. Sakata la IPTL nknk.. Ni taasisi ya fedha iliyochafuka machoni pa watanzania na haiaminiki tenaKuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?
Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.
NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Kwa siasa za kijinga hamjambo.Ni.kweli kayafufua na yanapiga mpunga mrefu..Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?
Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.
NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Ooh ok ok mkuuHawa na tawi tu. Makao makuu yapo. Hivyo deni litakusanywa tu.
Madeni pia huuzwa Pamoja na Mali.
Madeni yanaweza kuuzwa hata BOT ama Benki nyingine.
Katika kipindi cha miaka yake mitano Magufuli kavuruga sana uchumi ili kuwafurahisha ninyi watu wake.Mlisema Magufuli alikua anakimbiza wawekezaji.sasa hawa nao ni Magufuli kawakimbiza?