Chawa kazini.Kwa siasa za kijinga hamjambo.Ni.kweli kayafufua na yanapiga mpunga mrefu..
StanChart wanafunga biashara za Nanking kwa Nchi 8 ikiwemo Tzn kwa sababu wanasema wanabadili biashara kutoka kuwakopesha wateja wa kawaida hadi kuwa inakopesha Nchi ,taasisi nk yaani wanahama kwa customers wa kawaida na kuhamia kwenye corporate.
So this has nothing to do with Mama,hata Ubber Wana sepa
Ukisepa wenzako wanaingia 👇
View attachment 2187898
Una akili za kwendea msalani tuu.Chawa kazini.
Hao wanao kosa hizo kazi uanzani watakula wapi?
Uber wameweka mambo wazi kabisa.
Mmh. Mambo Magumu.Una akili za kwendea msalani tuu.
Kama una akili basi utaelewa sababu zao hapa chini 👇
View attachment 2188090
View attachment 2188091
Nikajua unautetezi mwingine mzuri.Katika kipindi cha miaka yake mitzno Magufuli kavuruga sana uchumi ili kuwafurshisha ninyi watu wake.
Matokeo ya kuvuruga uchumi yanachukua muda mrefu na hata ukienda majengo mbali mbali jijini DSM bado yako wazi na viwanda vingine bado vimefungwa.
Business confidence haijarudi 100%.
Bora umechangia kitaalam, siasa zilishapigwa nyingi hapa.Business rationalization. So they are back to the kind of business, Citibank Tanzania is pursuing.
No individual account, unless linked with a Corporate account (consumer)
No SMEs, (business) and no High Networth (private).
And for corporates, a higher threshold definition. Normally, Corporate Banking targets Multinationals, first with British or European links etc, then Regional Corporates etc, for local, only the top tier. Bakhressa, etc.
Reason: Consumer and Private accounts: probably higher risks associated with high networth individuals whose wealth could present serious challenges to monitor but higher regulatory and reputation risks.
Local corporates and Businesses: difficulties to trace ownership and political influences.
Overall, probably, Stanchart have challenges from NMB, CRDB, DTB, and other Regional banks for competitiveness versus cost of doing business in those categories. So little growth (no appetite) since not much value can they add to what NMB etc are already offering.
Mmiliki wa LakeOil ni nani?Kinachoimarika ni lake oil kwa kuboresha na kuongeza maradufu vituo vyake. Team Msonga wamekuja juu sana
Basi habu furahi kidogo, jipige kifua , tembea kifua mbere!Nikajua unautetezi mwingine mzuri.
Hii hauna ushahidi hata mdogo zaidi ya Siasa tu.
Kama humjui basi huswi kutumia jina hiloMmiliki wa LakeOil ni nani?
Kuna ugumu gani hapo wakati banki inabadili aina ya biashara?Mmh. Mambo Magumu.
Mimi ninayo natumia kwa mambo ya forexKuna mfanyabiashara ndogo ndogo yupi unayemfahamu ambae ana account yake Standard chartered Bank?
Ni banker wangu pia ila ni kwamba wanafunga virago na kufocus zaidi penye faida zaidi.Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?
Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.
NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Noted.Benki kwa hapa nyumbani hazina future kubwa Simu ndio kila kitu kwa hapa nyumbani.
Ndio maana bunge linatunga sheria kuruhusu mikopo kwa njia ya simu
Na kingmakers wananunua kampuni za Simu.
Kwa mwaka tu zinafanyika transactions za matrilioni kwa njia ya simu.
Awasepagi jumla hao,uwa wanabadilisha jina,baclays sasa hivi inaitwa absa,hao absa swift code yao ni ile ile ya barclays mpk hii leoMbona wamenipa mkopo mkubwa juzi, wakisepa ntazilipaje?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Agiza Heineken nitakulipiaBenki kwa hapa nyumbani hazina future kubwa Simu ndio kila kitu kwa hapa nyumbani.
Ndio maana bunge linatunga sheria kuruhusu mikopo kwa njia ya simu
Na kingmakers wananunua kampuni za Simu.
Kwa mwaka tu zinafanyika transactions za matrilioni kwa njia ya simu.
Retail banking zinabaki benki za hovyo na kipumbavu.Nadhani wanaondoka retail banking ili wafocus zaidi kwenye corporate banking
Mteja mmoja wa corporate ni bora kuliko retail 500k.Kwa corporate business ipi unayoiona?
Wewe ndo huiamini.Wanakimbia kashfa ya kutumika kutakatisha pesa za mabilioni.. Sakata la IPTL nknk.. Ni taasisi ya fedha iliyochafuka machoni pa watanzania na haiaminiki tena