Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee vipi bei ya mbususu? Huku dar tunapigwa sana, mbushsu imeshafika 100k bao moja. Hatari hiiWanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia
Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20
Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k
Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha
Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata
Starehe zote zipo,
Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,
Kule ni amani na bata tu
Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata
Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka
Beer zinanywewa full time
Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu
Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu
Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida
Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Shabiki wa yanga huyoStory zako Zina kahawa nyingi.
Hiki ni kisiwa cha Goziba kipo mkoa wa Kagera. Hao watafiti wako wa UNDP nina mashaka nao, askari wa hapo wanatoka Kagera sio mwanza kwa maana ya ukerewe. Nina mashaka na taarifs yako kuwa hakuna doria kama askari wapo.
View attachment 3270920
View attachment 3270921
Punguza uongo ktk maandiko yako mengi unayoandika. Yana uongo mwingi usio na maana
Ndugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !Kuna siku nitakuja kununua moja ya hivi visiwa.
Mleta mada umenichanganya kidogo, umesema huko Ukerewe wanavua samaki ila wanakula bata, embu dadavua.
Hakuna sehemu isiyokuwa na uchawiNdugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !
Kule kurogwa ni wakati wowote tena ukifika kule lazima ujaribiwe!.
Wewe ogopa mahala ambapo kiongozi wa dini akiambiwa aende huko huko anaona kapewa mtihani mkubwa sana kwasababu kuna baadhi wamefika huko kutangaza neno la mungu usiku we akalala vizuri vyumbani mwao na asubuhi wakajikuta wamelala ufukweni mwa ziwa Victoria.
Ikiwa mahala wanawaroga hadi viongozi wa dini jua hapo mahala wachawi wameshindikana!.
Mkuu unayo pdf ya kitabu cha Rosa Mistika?Huwa natamani kufika Namagondo na sehemu zingine zilizorejelewa katika kazi nyingi za Euphrase Kezilahabi. Dhana ya uduara, ukatikati na ukitovu pamoja na maji zinabeba mhimili mkuu wa falsafa ya Kezilahabi kuhusu maisha; na zote zinatokana na mazingira ya kisiwani Ukerewe alikokulia.
Siku moja nitafanya utalii wa ndani huko!
View attachment 3270970
Ila uchawi wa Ukara ni kiboko, sijui kwa nini hukuugusiaHakuna sehemu isiyokuwa na uchawi
Ukerewe gani!!? Unasemea Ukerewe hii ya wakara, wasukuma mikokoteni, anavaa shati la kutoboka mgongoni na tai! Ha ha ha ha ha, Murutungulu hoyee!!Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia
Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20
Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k
Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha
Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata
Starehe zote zipo,
Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,
Kule ni amani na bata tu
Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata
Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka
Beer zinanywewa full time
Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu
Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara
Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu
Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo
Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu
Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida
Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Nikimbia Ukara baada ya demu wangu kutishia kunigeuza mamba aliponifuma na shoga ake nikiwa nimesimamia ukuchaKweli Ukara uchawi upo
po